Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Antony Mtaka
amewataka wakuu wa wilaya wapya kuhakikisha wanakomesha mahakama za kimila maarufu kama Ndagashida
ambazo zimekuwa zikitoa adhabu kwa watumishi wa umma wasio na hatia hali inayopelekea kutokea kwa mauaji , vilema vya maisha sambamba na
kuwafirisi mali zao.
Akitoa wito huo jana wakati wa
kuapishwa wakuu hao ,Mtaka alieleza kuwa ni muhimu kwa wakuu hao kuzingatia suala
hilo katika wilaya...
RC-SIMIYU AMEWATAKA WAKUU WA WILAYA WAPYA KUKOMESHA MAHAKAMA ZA KIMILA
Posted by karenyblog
at 8:43 AM,
Add Comment
Soma zaidi
SHINYANGA BADO YAKABILIWA NA UPUNGUFU WA MADAWATI 9,545
WAKATI JANA ni mwisho wa ukamilishaji wa madawati mkoa wa Shinyanga umeshindwa
kukamilisha agizo la Rais John Magufuli la kutatua
tatizo la uhaba wa Madawati kwa shule za msingi na sekondari ambapo bado
inakabiliwa na upungufu wa madawati 9,545
Akitoa takwimu
hizo juzi Ofisa Elimu taaluma mkoa James Malima alisema katika shule za msingi kuna upungufu wa
madawati 7,310, sekondari 2,235 na kufanya jumla kuu kuwa ni 9,545 huku
utengenezaji wa madawati hayo kwenye...
Posted by karenyblog
at 3:12 AM,
Add Comment
Soma zaidi
MWENYEKITI MPYA WA TIMU YA STEND UNITED ATAKA USHIRIKIANO,ATAJA WACHEZAJI WALIOACHWA KUWA WAKO HURU
MWENYEKITI
wa timu ya Stend United iliyopo mkoani
Shinyanga Ellyson Maeja ametaka ushirikiano wa kuinyanyua timu nakuondoa tofauti zilizokuwepo kipindi cha
nyuma huku akitangaza wachezaji watakao
achwa msimu ujao.
Wachezaji walioachwa
na wako huru ni Haruna Chanongo,Nassoro Choro,Rajab Zahir,Hassan Self, Philipo
Metusela huku waliomaliza mkataba wao ni
Salum Kamana na Elius Maturi.
var obj0=document.getElementById("adsmiddle17190567593548817351");
var...
Posted by karenyblog
at 11:23 PM,
Add Comment
Soma zaidi
MIKAKATI YA KUPINGA MIMBA NA NDOA ZA UTOTONI WILAYANI SHINYANGA
MKUU wa
wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro
ameeleza mikakati dhidi ya kupinga mimba
na ndoa za utotoni ili kufanikisha
kuwakamata waliosababisha ni wasichana waliobainika kuwa na mimba kukataa kusema ukweli
watalazimika kuwekwa ndani.
Mkuu wa
wilaya huyo alisema hayo jana alipokuwa mgeni rasmi mbele ya wadau wa maendeleo katika mradi wa
kupinga mimba na ndoa za utotoni kupitia shirika la Agape ikiwa utekelezaji...
Posted by karenyblog
at 5:27 AM,
Add Comment
Soma zaidi
UWT WILAYA YA SHINYANGA VIJIJINI WAKIWA KATIKA ZOEZI LA UCHANGIAJI DAMU.
Katibu wa UWT wilaya ya Shinyanga vijijini akitoa akijitolea kuchangia damu.
Wakwanza kushoto ni mwenyekiti wa UWT Hellen David akiwa na wajumbe wa UWT wakijitolea uchangiaji damu lengo kuokoa vifo vya mama na mtoto vitokanavyo na ukosefu wa damu.
Wakipewa maelekezo na kufarijiwa.
Wajumbe wa UWT wakijiandaa kwa uchangiaji damu hapa wanajiandikisha tayari kwa kupata vipimo.
Katibu wa UWT Grace Haule akiendelea kuchangia damu...
Posted by karenyblog
at 4:22 AM,
Add Comment
Soma zaidi
WATU 40,364 WAMEPIMWA,1,871 WAMEBAINIKA KUWA NA MAAMBUKIZI YA VVU

Kati ya watu 40,364 waliojitokeza kupima afya kwa hiari katika halmashauri
Msalala mkoani Shinyanga 1,871 wamekutwa na maambukizi ya virusi vya
ukimwi .
Mratibu wa
ukimwi wa halmashauri hiyo Jackson
Faustine anasema kuwa watu hao walijitokeza kupima afya kati ya
Januari hadi Novemba 2015.
var obj0=document.getElementById("adsmiddle118900559371687868");
var obj1=document.getElementById("adsmiddle218900559371687868");
var s=obj1.innerHTML;
var...
Posted by karenyblog
at 2:16 PM,
Add Comment
Soma zaidi
DC SHINYANGA ATOA AGIZO MHANDISI WA MANISPAA KUWEKWA RUMANDE
MKUU wa wilaya ya
Shinyanga Josephine Matiro
ametoa amri ya kumuweka
ndani mhandisi wa ujenzi wa manispaa
ya Shinyanga Saimon Ngagani ,
kutokana na kukaidi agizo lake
la kufanya maandalizi mapema
ya shughuli za kuchimbia mapipa
ya kuweka taka
nyepesi katika maeneo
mbalimbali ya manispaa hiyo. ...
Posted by karenyblog
at 9:54 PM,
Add Comment
Soma zaidi
WATOTO KWENYE KITUO CHA BUHANGIJA WAPATA MSAADA.
Watoto wenye ulemavu mbalimbali katika kituo cha Buhangija manispaa ya Shinyanga wakisubiri kupewa msaada wa nguo na vyakula siku ya pasaka.
Watoto wakiendelea kusubiri msaada.
Familia ya Mwalongo ikijitambulisha tayari kwa kutoa msaada siku ya Pasaka
Mbuzi aliyetolewa na familia ya Anna na Josephat Mwalongo siku ya Pasaka katika kituo cha Buhangija.
var obj0=document.getElementById("adsmiddle14620384079231700237");
var obj1=document.getElementById("adsmiddle24620384079231700237");
var...
Posted by karenyblog
at 6:16 AM,
Add Comment
Soma zaidi
MFUMODUME WAWA KIKWAZO KWA WANAWAKE KUKUZA UCHUMI
WANAWAKE nchini wameelzwa kuwa mfumo dume ndio unaowakwamisha kuweza kupata mikopo katika taasisi za fedha kwa kukosa dhamana
Licha ya kuwa waaminifu zaidi
kuliko wanaume wamekuwa kwakipata vikwazo mbalimbali vyakushindwa kuendesha
biashara`zao na pindi wanapohitajika kutoa dhamana kwaajili ya mikopo
wengi wao hushindwa sababu ya mfumodume
var obj0=document.getElementById("adsmiddle14149279085469906792");
var obj1=document.getElementById("adsmiddle24149279085469906792");
var...
Posted by karenyblog
at 1:30 PM,
Add Comment
Soma zaidi
KUKOSEKANA KWA MASHINE ZA CD4 ZAWATESA WENYE MAAMBUKIZI YA VVU.
VITUO vya kutolea huduma
kwa watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi mkoani Shinyanga vinakabiliwa na
changamoto ya upungufu wa mashine za kupimia CD4 hali inayosababisha hofu
kwa watumiaji wa dawa za kufubaza makali (ARV).
var obj0=document.getElementById("adsmiddle18740829233657820153");
var obj1=document.getElementById("adsmiddle28740829233657820153");
var s=obj1.innerHTML;
var r=s.search(/\x3C!-- adsense --\x3E/igm);
if(r>0) {obj0.innerHTML=s.substr(0,r);obj1.innerHTML=s.substr(r+16);}
var...
Posted by karenyblog
at 9:58 PM,
Add Comment
Soma zaidi
MENO YA TEMBO YAKAMATWA HUKU WATU TISA WAKISHIKILIWA NA JESHI LA POLISI
WATU wadhanwao ni majangili katika pori la akiba Maswa waliofanya tukio la kutunguahelkopita ya kampuni ya Mwimba Holding Limited na kusababisha kifo chaRubani, Rodgers Charvis raia wa Uingeleza ambaye alikuwaakitekelezamajikumu yake jeshi la polisi limefanikiwa kuwakamatawahusika 9 pamoja na bunduki 29 ikiwemo meno ya tembo matatu.Akiongea jana na waandishi wa habari mkoani Simiyu, Kamanda wa polisimkoani hapa Lazaro Mambosasa alisema kuwa jeshi...
Posted by karenyblog
at 8:23 PM,
Add Comment
Soma zaidi
WANANCHI KUCHANGIA UJENZI WA MAHAKAMA ZA MWANZO
WATUMISHI wa idara ya mahakama mkoani Shinyanga
wametolewa hofu ya kuhakikisha wananchi wanashirikishwa ili kuweza kuboresha
miundombinu ya majengo kama wafanyavyo kwenye sekta zingine.
Hayo yamesemwa na mkuu wa mkoa wa Shinyanga Ally Rufunga kwenye kilele cha
maadhimisho ya siku ya sheria yaliyofanyka kwenye viwanja vya mahaka mkazi
wilaya nakuhusisha wadau kutoka maeneo mbalimbali wakiwemo viongozi wa
madhehebu ya dini.
var...
Posted by karenyblog
at 9:25 AM,
Add Comment
Soma zaidi
MKUU WA WILAYA YA SHINYANGA ATAKA WANANCHI KUFAHAMU TARATIBU NA SHERIA DHIDI YA VYOMBO VYENYE DHAMANA
MKUU wa
wilaya ya Shinyanga Josephine
Matiro ametoa wito kwa wananchi kushiriki utolewaji wa elimu katika vyombo vinavyosimamia haki na sheria ili kuweza kujua pindi haki inapotendeka
nakuondoa manung’uniko yanayotokea mara kwa mara katika vyombo hivyo.
var obj0=document.getElementById("adsmiddle11967903048072655515");
var obj1=document.getElementById("adsmiddle21967903048072655515");
var s=obj1.innerHTML;
var r=s.search(/\x3C!-- adsense --\x3E/igm);
if(r>0)...
Posted by karenyblog
at 9:53 AM,
Add Comment
Soma zaidi
Subscribe to:
Posts (Atom)