Habari za hivi Punde

HALMASHAURI KANDA YA ZIWA WATAKIWA KUWEKA AKIBA YA ARDHI KATIKA MAENEO YAO



HALMASHAURI  za kanda ya ziwa zimetakiwa kuwa na akiba ya Ardhi ilikuweza kutoa fursa kwa wawekezaji pindi wanapokuja kuwekeza katika maeneo yao ikiwa changamoto kubwa imebainika kukosa  maeneo ya kuwekeza  pindi  yanapohitajika  ili kuweza kunyanyua uchumi .

0 Response to "HALMASHAURI KANDA YA ZIWA WATAKIWA KUWEKA AKIBA YA ARDHI KATIKA MAENEO YAO"

Post a Comment

KARENY. Powered by Blogger.