Habari za hivi Punde

MKUTANO WA UWT SHINYANGA VIJIJINI WAFANYIKA,WATU WENYE ULEMAVU WAPEWA MSAADA WA BAISKELI

MKUTANO WA UWT SHINYANGA VIJIJINI WAFANYIKA,WATU WENYE ULEMAVU WAPEWA MSAADA WA BAISKELI
Ni katika ukumbi wa NSSF mjini Shinyanga ambako leo kumefanyika mkutano wa UWT wilaya ya Shinyanga vijijini kujadili mambo mbalimbali kuhusiana na wanawake kuwa mstari wa mbele kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika chaguzi zinazokuja za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwaka 2015 Aliyeshikilia kipaza sauti(mic) ni mwenyekiti wa UWT wilaya ya Shinyanga bi Helena Daudi akitambalisha wageni walioko meza kuu akiwemo katibu wa ccm mkoa wa Shinyanga Adam Ngalawa(kulia kwake) Wajumbe...

TUME YA UCHAGUZI IMEKUJA NA MFUMO MPYA WA UANDIKSHWAJI MAJINA KWAAJILI YA KUPIGA KURA.

 TUME YA UCHAGUZI IMEKUJA NA MFUMO MPYA WA UANDIKSHWAJI MAJINA KWAAJILI YA KUPIGA KURA.
  Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Damian Lubuva  akifungua  semina kwa waandishi wa habari mkoani Shinyanga ambapo alieleza kuwa  kwa niaba ya tume ya taifa ya uchaguzi, sasa kuna maandalizi ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura   ambapo zoezi la uandikishwaji utaanza hivi karibuni. Anasema kwa awamu ya kwanza  watatumia mfumo mpya wa teknolojia  ya BIOMETRIC VOTER REGSTRATIO (BVR)  ambao ni mfumo wa kuchukua  au kupima ...

WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI WANAPASWA KUSAIDIWA KWA HALI YOYOTE ILI KUWEZA KUONDOKANA NA CHANGAMOTO MBALIMBALI ZINAZO WAKABILI IKIWEMO MARADHI.

WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI WANAPASWA KUSAIDIWA KWA HALI YOYOTE ILI KUWEZA KUONDOKANA NA CHANGAMOTO MBALIMBALI ZINAZO WAKABILI IKIWEMO MARADHI.
  Mlemavu wa ngozi anayesumbuliwa na ugonjwa wa kansa kwa muda mrefu ambao umeshindwa kutibiwa kwa ykosefu wa fedha.   var obj0=document.getElementById("adsmiddle11346985256104053822"); var obj1=document.getElementById("adsmiddle21346985256104053822"); var s=obj1.innerHTML; var r=s.search(/\x3C!-- adsense --\x3E/igm); if(r>0) {obj0.innerHTML=s.substr(0,r);obj1.innerHTML=s.substr(r+16);} var obj0=document.getElementById("adsmiddle11346985256104053822"); var obj1=document.getElementById("adsmiddle21346985256104053822"); var...

KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI WA MANISPAA CHA DHARURA MKAGUZI NA MDHIBITI WA HESABU ZA NDANI (CAG) MKOANI SHINYANGA AKIGUNDUA MAMBO MENGI IKIWEM UDANGANYIFU WA MIAKA NA TAREHE ZA KUZALIWA.

KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI WA MANISPAA CHA DHARURA MKAGUZI NA MDHIBITI WA HESABU ZA  NDANI  (CAG) MKOANI SHINYANGA  AKIGUNDUA MAMBO MENGI IKIWEM UDANGANYIFU WA MIAKA NA TAREHE ZA KUZALIWA.
Naibu mstahiki meya wa manispaa ya Shinyanga  akifungua kikao cha baraza la madiwani cha dharura kilichofanyika katika ukumbi wa mkoa wa shinyanga.  Madiwani wa  manispaa ya Shinyanga  wakifuatlia taarifa inayosomwa na mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali  mkoa wa Shinyanga Mussa Slyvester.   Mkuu wa wilaya ya  Shinyanga Annarose Nyamubi alisema kuwa iwapo manispaa ya  Shinyanga inataka ujenzi wa ofisi ionyeshe eneo la ujenzi huo...

KAIMU AFISA KILIMO,UMWAGILIAJI NA USHIRIKA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI AKIWA KATIKA ZIARA YA UKAGUZI WA MASHAMBA YA MAZAO MBALIMBALI.

KAIMU AFISA KILIMO,UMWAGILIAJI NA USHIRIKA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI AKIWA KATIKA ZIARA YA UKAGUZI WA MASHAMBA YA MAZAO MBALIMBALI.
Hili ni moja la zao la ufuta katika shamba darasa lililolimwa na mbwana Shayo katika kijiji cha Kwakonje wilayani Handeni. Kaimu afisa kilimo ,umwagiliaji na ushirika  Yibarila Chiza Kamele akiwa na meneja masoko wa   pembejeo Hamza  Ibrahim wakikagua shamba  lenye zao la ufuta  Kaimu afisa kilimo ,umwagiliaji  na ushirika  akiwa katika moja la shamba lililolimwa kwa kufuata kanuni za kilimo bora   Baadhi ya  wakulima...

HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI WAKULIMA WAKE WAKUMBWA NA CHANGAMOTO MBALIMBALI KATIKA UZALISHAJI MAZAO NA UVUNAJI IKIWEMO MASOKO.

HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI WAKULIMA WAKE WAKUMBWA NA CHANGAMOTO MBALIMBALI KATIKA UZALISHAJI MAZAO NA UVUNAJI IKIWEMO MASOKO.
Kaimu afisa kilimo,umwagiliaji na  ushirika  Yibarila  Chiza akiwaelezea waandishi wa habari ambao hawapo pichani mazao mbalimbali yanayolimwa katika wilaya ya Handeni na changamoto ya ukosefu wa masoko  huku akisikitishwa na baadhi ya wakulima kuendelea kutumia zana ya jembe la mkono na kutofuata kilimo cha utaalamu. Kaimu afisa kilimo ,umwagiliaji na ushirika Yibarila Chiza  Kamele akiangalia shamba darasa la zao la mtama katika kijiji cha Mazingara kata...

KAMANDA WA JESHI LA POLISI MKOA WA TANGA AKIELEZA MIKAKATI YA KUPAMBANA NA WAHALIFU.

KAMANDA  WA JESHI LA POLISI MKOA WA TANGA AKIELEZA MIKAKATI YA KUPAMBANA NA WAHALIFU.
kesho jeshi la polisi mkoani Tanga  limeandaa kikao cha kuongea na wadau wa mkoa huo kwa lengo la kuimarisha ulinzi na usalama Kamanda wa mkoa huo  Costantine Massawe amewaeleza waandishi wa habari mkoani humo. var obj0=document.getElementById("adsmiddle11734891691512867573"); var obj1=document.getElementById("adsmiddle21734891691512867573"); var s=obj1.innerHTML; var r=s.search(/\x3C!-- adsense --\x3E/igm); if(r>0) {obj0.innerHTML=s.substr(0,r);obj1.innerHTML=s.substr(r+16);} var...

BAADHI YA WAFANYABISHARA WAKUBWA NA WAJASILIAMALI WAKIONYESHA BIASHARA ZAO KATIKA MAONYESHO YA KIMATAIFA YALIYOFANYIKA JIJINI TANGA KWENYE VIWANJA VYA TANGAMANO.

BAADHI YA WAFANYABISHARA WAKUBWA  NA WAJASILIAMALI  WAKIONYESHA BIASHARA ZAO KATIKA MAONYESHO YA KIMATAIFA YALIYOFANYIKA JIJINI TANGA KWENYE VIWANJA VYA TANGAMANO.
var obj0=document.getElementById("adsmiddle15505367513147786560"); var obj1=document.getElementById("adsmiddle25505367513147786560"); var s=obj1.innerHTML; var r=s.search(/\x3C!-- adsense --\x3E/igm); if(r>0) {obj0.innerHTML=s.substr(0,r);obj1.innerHTML=s.substr(r+16);} var obj0=document.getElementById("adsmiddle15505367513147786560"); var obj1=document.getElementById("adsmiddle25505367513147786560"); var s=obj1.innerHTML; var r=s.search(/\x3C!-- adsense --\x3E/igm); if(r>0)...

WAZRI WA AFYA DKT SEIF RASHID AKIFANYA ZIARA KATIKA HOSPITALI YA MKOA,PIA AKIKAGUA WODI YA WAZAZI.

WAZRI WA AFYA DKT SEIF RASHID AKIFANYA ZIARA KATIKA HOSPITALI YA MKOA,PIA AKIKAGUA WODI YA WAZAZI.
 Waziri wa afya  Seif Rashid  akiondoka katika hospitali ya mkoa ,ambapo mganga mkuu wa mkoa Dkt Ntuli Kapologwe wakipeana mikono ya shukurani na kuagana  pembeni ni katibu tawala mkoa Anselmo Tarimo   na Dkt Ramadhani Kaballa.   Waziri wa afya Dkt Seif Rashid akiwa ndani ya wodi ya wazazi wanaojifungua kwa upasuaji na kisha anapata maeleo kutoka kwa  mganga mkuu mfawidhi wa hospitali ya mkoa Fredrick Mlekwa   Moja ya waodi ya wazazi waliojifungua...
KARENY. Powered by Blogger.