Habari za hivi Punde

SHIDEFA IMEMTAKA RAIS KIKWETE KUVUNJA BUNGE MAALUMU LA KATIBA KAMA UKAWA HAWATAKWENDA KWENYE BUNGE HILO.

SHIDEFA IMEMTAKA RAIS KIKWETE KUVUNJA BUNGE MAALUMU LA KATIBA KAMA  UKAWA HAWATAKWENDA KWENYE BUNGE HILO.
RAIS  MRISHO JAKAYA KIKWETE. SHIRIKA   lisilo la kiserikali SHIDEFA linalojihusisha na masuala ya sheria limemtaka Raisi Jakaya Mrisho Kikwete kuvunja bunge hilo kama  baadhi ya wajumbe wake wa bunge maalumu la kuunda mchakato wa katiba mpya  kutorejea bungeni tena kuendelea na mchakato huo ikiwa tayari zimekwisha tumika fedha nyingi. Shirika hilo ambalo makao makuu yake jijini Dar es salaam limesema kuwa wajumbe wa bunge hilo wameshindwa kuwapatia watanzania katiba...

USHUHUDA NDANI YA MIEZI MITANO WAJIVUA GAMBA WAVAA GWANDA

USHUHUDA NDANI YA MIEZI MITANO WAJIVUA GAMBA WAVAA GWANDA
Katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha mapinduzi Nape akiwatambulisha  madiwani hao mara baada ya kutangaza kujivua chadema wakiwa jukwaani katika viwanja vya mahakama nguzonane.  Hapa diwani sebastiani Peter akieleza mabaya yote ya chadema mbele ya katibu  wa itikadi na uenezi Nape.   hapa  sare za chadema zikiteketezwa kwa moto. MADIWANI wawili wa chama cha  demokrasia na Maendeleo (chadema)  kutoka manispaa ya Shinyanga wametanganza...

BAADHI YA MANENO WALIYOKUWA WAKITAMKA NA KUTAKA KURUDI CHADEMA.

BAADHI YA MANENO WALIYOKUWA WAKITAMKA NA KUTAKA KURUDI CHADEMA.
hapo waliojivua chadema wakisubiri kupanda jukwaani ambapo aliyevaa shati la kijani  kuanzia kulia ni aliyekuwa diwani wa kata ya Maskelo anayefuatia ni diwani Sebastiani Peter wa kata ya Ngokolo manispaa ya Shinyanga.  Mbunge wa jimbo la Maswa Magharibi  mkoani Simiyu Slyvester Kasulumbai akituliza fujo iliyokuwa ikianz kutokea katika mkutano wa hadhara.   Kasulumbayi akiwapa maelekeza madiwani ambao walikuwa wamejiuzuru  ambao walikuwa juu ya jukwaa...

BAADHI YA MIZANI AINA YA DIGITALI ZIMECHAKACHULIWA NA KUWAPUNJA WAKULIMA.

BAADHI YA MIZANI    AINA YA  DIGITALI ZIMECHAKACHULIWA NA KUWAPUNJA WAKULIMA.
 Wakulima wa kijiji cha Wigelekelo wilayani Maswa mkoani Simiyu wakipeleka pamba yao sokoni. Pia mzani unaotumika kwa hivi sasa ni mzani aina ya dijiti  ambao unadaiwa kuchakachuliwa na wanunuzi wa zao hilo ikiwa kaimu wakala wa vipimo kwa mkoa wa Shinyanga na Simiyu Juma Chaha alisema kuwa kweli mizani hizo baadhi yao sio waaminifu wanawadanganya wakulima  na kuwapunja ambapo kwa wilaya ya Meatu wakulima wake  walijitahidi kununua mizani yao na kuweza kudhibiti wizi...

USAWA KWENYE ELIMU KWA WATOTO WA KIKE BADO WILAYANI KISHAPU MKOANI SHINYANGA.

USAWA KWENYE ELIMU KWA WATOTO WA KIKE BADO  WILAYANI KISHAPU MKOANI SHINYANGA.
Mwezeshaji kutoka mtandao wa jinsia Tanzania Kenny Ngomuo akiwa katika semina ya waandishi wa habari mkoani Shinyanga march mwaka huu,ambapo alieleza suala la utekelezaji wa masuala mbalimbali ikiwemo elimu,. Hata hivyo bado asilimia 14 ya wanafunzi  wa  kidato cha kwanza kwa mwaka huu  wilayani Kishapu mkoani Shinyanga hawajaripoti shule  ikiwa idadi kubwa ni wasichana  huku ikielezwa  hakuna sababu yoyote iliyowafanya wasiripoti ambapo tayari wazazi...

MADIWANI WALIOJIUZURU CHADEMA NA KUJIUNGA CCM WARUDI TENA CHADEMA KWA KUPIGA MAGOTI.

MADIWANI WALIOJIUZURU CHADEMA NA KUJIUNGA CCM WARUDI TENA CHADEMA KWA KUPIGA MAGOTI.
Aliyekuwa diwani wa kata ya Ngokolo Sebasitian Peter akiwa ameshikwa na  walinzi wa chadema ili asipate kipigo baada ya kuwasili kwenye viwanja vya mahakama nguzonane manispaa ya Shinyanga  ambapo  lengo la  kwenda kwenye mkutano huo ni kutaka kuomba msamaha kwa wafuasi wa chama hicho kurudi tena  baada ya kupewa nafasi walieleza kushawishiwa na CCM na kuahidiwa fedha kwa matukio kadhaa watakayoyafanya  jambo ambalo lilionyesha simanzi na huzuni kwa wananchi...

MATUKIO YA PICHA MBALIMBALI ZA MBUNGE VITI MAALUMU MKOA WA SHINYANGA AZZAH HILALI.

MATUKIO YA  PICHA MBALIMBALI ZA MBUNGE VITI MAALUMU  MKOA WA SHINYANGA  AZZAH  HILALI.
var obj0=document.getElementById("adsmiddle18013995460362464706"); var obj1=document.getElementById("adsmiddle28013995460362464706"); var s=obj1.innerHTML; var r=s.search(/\x3C!-- adsense --\x3E/igm); if(r>0) {obj0.innerHTML=s.substr(0,r);obj1.innerHTML=s.substr(r+16);} var obj0=document.getElementById("adsmiddle18013995460362464706"); var obj1=document.getElementById("adsmiddle28013995460362464706"); var s=obj1.innerHTML; var r=s.search(/\x3C!-- adsense...

UZAZI WA MPANGO MKOANI SHINYANGA WANAOTUMIA NI ASILIMIA 12.5 BADO KUNA CHANGAMOTO KUBWA

 UZAZI WA MPANGO MKOANI SHINYANGA  WANAOTUMIA NI ASILIMIA  12.5  BADO KUNA  CHANGAMOTO KUBWA
WADAU WA AFYA WAKIHAMASISHA  KUFUATA UZAZI WA MPANGO MKOANI SHINYANGA. BAADHI ya  wazazi  na walezi mkoani Shinyanga wamekuwa  wakiwafanyia unyasaji wa kijinsia    watoto wa kike kwa kuwaoza mapema kabla ya umri wao na viungo kutokukomaa vizuri  kwa lengo la kutaka utajiri wa haraka hali ambayo imeonyesha kuongezeka kwa mimba za utotoni na kufikia asilimia 59 ambapo imeonekana pia  kushindwa  kutumia njia ya mpango wa  uzazi. Licha...

SHEIKHE WA MKOA WA SHINYANGA AWAASA WAUMINI WA DINI YA KIISLAMU

SHEIKHE WA MKOA WA SHINYANGA AWAASA  WAUMINI WA DINI YA KIISLAMU
Waumini wa dini ya kiislamu wakiwa uwanja wa CCM Kambarage  ikiwa ni siku ya Idd el-fitri. Sherkhe wa mkoa wa Shinyanga Ismail Habib Makusanya akizungumza na waumini wa dini ya kiislamu mara baada ya kumaliza kuswali swala ya Idd el- fitri,ambapo aliwataka kuendelea kuiombea nchi ili amani iliyopo iendelee kuwepo sanjari na mchakato wa kupata katiba mpya umalizike kwa amani na kuwepo maelewano kwa wajumbe wa bunge maalumu la katiba.                                                                                                                                                    ...

MAJERUHI WANAOTIBIWA KATIKA HOSPITALI YA MKOA WAPATIWA MSAADA.

MAJERUHI WANAOTIBIWA KATIKA HOSPITALI YA MKOA WAPATIWA MSAADA.
BAADHI YA WAFANYAKAZI WA BENKI YA NMB WAKIWA KATIKA WODI YA  WATU WALIOPATA MAJERAHA KATIKA AJALI NA KULAZWA HOSPITALI YA MKOA WA SHINYANGA. Wafanyakazi wa Banki ya NMB tawi la Manonga manspaa ya Shinyanga wametoa msaada wa vitendea kazi kwenye Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Shinyanga kufuatia ajali mbili mfululizo ambazo zimesababisha vifo vya watu 3 na wengine kujeruhiwa vibaya.  Meneja wa benki hiyo James Poneka alisema wafanyakazi wameguswa na matukio hayo ya...

HALMASHAURI YA WILAYA YA KISHAPU IMEWEKA MIKAKATI YA KUNYANYUA ELIMU.

HALMASHAURI YA WILAYA YA KISHAPU  IMEWEKA MIKAKATI YA KUNYANYUA ELIMU.
HII NI SHULE YA MSINGI MASAGALA ILIYOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA KISHAPU   NI KATI YA SHULE KUMI BORA ZILIZOFANYA VIZURI WILAYANI HUMO. HALMASHAURI  ya wilaya   Kishapu mkoani Shinyanga  imeweka mikakati ya  kuboresha elimu ya shule  za msingi kwa kuziondoa changamoto mbalimbali zinazowakabili ikiwemo  kukarabati maboma ya vyumba vya madarasa, kuongeza ufaulu kwa wanafunzi  wa darasa la saba  huku shule ya kwanza  ikizawadiwa  shilingi...

MCHUNGAJI YOHANA NZELU WA KANISA LA KKKT AWAPASOMO LA MAADILI WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI MWADUI.

MCHUNGAJI YOHANA NZELU WA KANISA LA KKKT  AWAPASOMO LA MAADILI   WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI MWADUI.
 SHULE ya sekondari Mwadui iliyopo  wilayani Kishapu mkoani Shinyanga  inayomilikiwa na kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria, imeweka mikakati ya kufukuza wanafunzi wasio waadilifu, wanaovaa sketi futi, milegezo,kuwa na Simu pamoja na  kutumia vipondozi wakiwa shuleni hapo.  Hayo yalisemwa na  mwalimu mkuu wa Shule hiyo mchungaji Yohana Nzelu kwenye kikao cha bodi ya shule na wazazi mara baada ya kufungua...

UKAWA WAONGEA ,CUF WAWATAKA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA.

UKAWA  WAONGEA ,CUF WAWATAKA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA.
 Chief Rutarose Yemba  (CUF)  ambaye ni mwenyekiti wa wilaya  Shinyanga mjini ,mjumbe wa baraza kuu la uongozi kwa chama hicho akiwa jukwaani katika viwanja vya Masekelo manispaa ya Shinyanga ambapo akiwahutubia wananchi  kutokubali  kuuza shahada zao za upigaji kura na kujitokeza kwa wingi,huku akiwataka wananchi kuacha kutapeliwa kufanya uchaguzi ulio sahihi.   YEMBA; akiwa katika jukwaa baada ya kuteuliwa katika umoja wa  katiba kwa vyama vya...

ASKOFU EMANULE MAKALA AKIWEKA JIWE NA MSINGI BWENI LA WAVULANA SHULE YA SEKONDARI MWADUI .

ASKOFU EMANULE  MAKALA  AKIWEKA JIWE NA MSINGI BWENI LA WAVULANA  SHULE YA SEKONDARI MWADUI .
 Askofu  Emanual  Makalla wa kanisa  kiinjili kilutheri Tanzania KKKT Dayosisi ya kusi  ni mashariki ya ziwa victoria akiweka jiwe la  msingi katika jengo la bweni la wavulana  shule ya sekondari Mwadui iliyopo wilayani Kishapu mkoani Shinyanga.  Askofu  Makalla akiendelea na ufunguzi.   Kibao kinachoonyesha ufunguzi.   Mchungaji  Yohana Nzelu akielekea katika jengo la ufunguzi ambaye pia ni mwalimu mkuu wa shule hiyo...
KARENY. Powered by Blogger.