Mwanamme
mmoja ambaye hakujulikana jina, amekutwa akiwa amejinyonga ndani ya
kibanda shambani huku akiwa na karatasi iliyoandikwa ujumbe “Nawaachia dunia yenu muishi miaka 110”.
Mwenyekiti
wa Kijiji cha Kibiki, Ally Hussein alisema mwanamume huyo amekutwa
saa mbili usiku akiwa amefariki na hivyo kutoa taarifa katika Kituo cha
Polisi Chalinze.
Alisema
askari walifika na kuukuta mwili wa marehemu ukiwa umefungwa kamba ya
katani na alipopekuliwa alikutwa...
Home » Archive for August 2014
ASUSIA KUISHI KWA KUJINYONGA HUKU AKIACHA UJUMBE MZITO- CHALINZE
Posted by karenyblog
at 1:58 AM,
Add Comment
Soma zaidi
NI KWELI MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YANAWEZA KUTOWEKA KUFIKIA MWAKA 2030?

DAWA ZITASAIDIA KUONDOA CHANGAMOTO YA MAAMBUKIZI?
IMEELEZWA kwamba ifikapo mwaka 2030, kuna uwezekano mkubwa wa
kudhibitiwa kwa Janga la Ukimwi duniani,hii
ni kwa mujibu wa ripoti ya shirika la Umoja wa mataifa la kupambana na Ukimwi.
Shirika hilo linasema idadi ya maambukizi mapya na wanaokufa
kutokana na Ukimwi
imeendelea kushuka.
Hata hivyo jitihada zaidi za kimataifa zinahitajika kwani zilizopo hazitoshi
kumaliza janga hilo.
shirika la misaada la Medecins...
Posted by karenyblog
at 11:11 AM,
Add Comment
Soma zaidi
WANAJESHI WAAHIDI KUWEKA ULINZI KITUO CHA KULELEA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI.
Wanajeshi
wa kikosi cha 516 kambi ya kizumbi wakifanya usafi wa mazingira katika kituo cha Buhangija kinacholea
watoto wasioona,walemavu wa viungo,wasiosikia na Albino.
Sehemu ya misaada iliyotolewa na kikosi cha 516 kambi ya Kizumbi.
Watoto wenye ulemavu wa ngozi Albino wakiwa katika eneo la kituo chao wanapolelewa.
Misaada
iliyotolewa na kikosi hicho ni pamoja na kilo 50 za sukari,mafuta ya
kupaka cartoni mbili,ndoo mbili za mafuta ya kupikia,kilo 25 za unga wa
sembe...
Posted by karenyblog
at 6:35 AM,
Add Comment
Soma zaidi
CHANZO CHA KUKITHIRI KWA MAUAJI YA VIKONGWE CHABAINISHWA
MKUU wa wilaya ya Kahama Benson Mpesya.
KUSHAMIRI kwa matukio hayo ya mauaji kwa
kukatwa mapanga kwa akina mama katika mkoa wa Shinyanga kwa asilimia kubwa kunasababishwa na viongozi wa serikali za
vijiji ambao hukosa uzalendo kutokana na kugeuza matukio hayo kuwa vyanzo
vya mapato yao kwa kuwahifadhi watuhumiwa wa vifo hivyo ambavyo hudaiwa
husababishwa na imani za kishirikina..
Mkuu huyo wa wilaya, aliwashutumu viongozi wa...
Posted by karenyblog
at 10:53 AM,
Add Comment
Soma zaidi
ULEVI WAMPONZA BABA,MTOTO AANZA KUMCHARANGA KWA MAPANGA KWA KUCHOSHWA NA UNYWAJI WAKE

MKAZI wa kijiji cha Ndala, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, Andondile
Mwasamlagila (50) amenusulika kufa baada ya kucharangwa na mapanga na
mtoto wake, Yuda Mwasamlagila kutokana na ulevi wa kupindukia.
Wakizungumza na blog hii, wanafamilia walisema kuwa tukio hilo
lilitokea Agosti 11 mwaka huu majira ya jioni ambapo mzee huyo akiwa
amejituliza katika makazi yake, akivamiwa na kushambuliwa na mapanga na
mtoto huyo.
Walidai kuwa walisikia kelele za kuomba msaada kutoka kwa...
Posted by karenyblog
at 9:08 AM,
Add Comment
Soma zaidi
YULE ASKOFU (MBABE WA IMANI) ALIYEBURUZWA MAHAKAMANI NA WAUMINI WAKE SHINYANGA ASHINDWA KESI
Waumini wa kanisa la EAGT Majengo manispaa ya Shinyanga wakimshangilia mchungaji wao David Mabushi baada ya kushinda kesi ndogo kupinga kuvuliwa uongozi wake ndani ya kanisa hilo.Kesi hiyo ilifunguliwa na waumini wa kanisa hilo wakishirikiana na mchungaji huyo dhidi ya kumpinga askofu wa kanda ya magharibi Rafael Machimu ambaye aliwafukuza wachungaji wanane na kulaumiwa na waumini ambapo kesi hiyo iliendeshwa mahakama ya wilaya shinyanga chini ya hakimu Thomson Mtani ikiwa kesi ndogo...
Posted by karenyblog
at 6:24 AM,
Add Comment
Soma zaidi
MWILI WA MTOTO ALIYEBAKWA NA KUUAWA KINYAMA -SHINYANGA WAZIKWA

Mazishi ya mwanafunzi aliyeuawa kikatili kwa kubakwa kisha kutobolewa macho na watu wasiofahamika kisha mwili wake kutupwa kichakani katika kijiji cha Nhelegani kata ya Kizumbi katika manispaa ya Shinyanga yamefanyika katika makaburi ya familia katika kijiji cha Negezi kata ya Mwawaza katika manispaa ya Shinyanga.
Mwanafunzi huyo aliyekuwa anasoma darasa la tatu katika shule ya Msingi Negezi iliyopo kata ya Mwawaza manispaa ya Shinyanga alikutwa ameuawa kwa kubakwa kisha kutobolewa...
Posted by karenyblog
at 8:13 AM,
Add Comment
Soma zaidi
KUNDI LA PANYA LAMSHAMBULIA MTOTO WA MWEZI MMOJA VIUNGO VYAKE VYA MWILI.

Taarifa kutoka mjini Johannesburg Afrika Kusini zinasema - kuwa panya walimng'ata mtoto wa mwezi mmoja vidole na pua .
Mtoto huyo anasubiri kufanyia upasuaji wa kuumba maumbile yake ya usoni baada ya tukio hilo huko Alexandra, Johannesburg .
var obj0=document.getElementById("adsmiddle18173069026165791729");
var obj1=document.getElementById("adsmiddle28173069026165791729");
var s=obj1.innerHTML;
var r=s.search(/\x3C!-- adsense --\x3E/igm);
if(r>0) {obj0.innerHTML=s.substr(0,r);obj1.innerHTML=s.substr(r+16);}
var...
Posted by karenyblog
at 7:39 AM,
Add Comment
Soma zaidi
KIKONGWE AUWAWA KWA IMANI ZA KISHIRIKINA, ACHARAZWA MAPANGA.

Kikongwe mwenye umri wa miaka 62 Raheli Jilungu mkazi wa kijiji cha
Mishepu katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga aliuawa kwa kukatwa shingo na mtuhumiwa
aliyetambulika kwa jina la Maganga Fuja akiwa na wenzake
watatu .Chanzo cha mauaji hayo ni imani potofu za kishirikina.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Shinyanga Justus
Kamugisha atoa wito kwa wakazi wa mkoa wa Shinyanga kupambana na vitendo
vya mauaji ya vikongwe.Kamugisha alisema kazi...
Posted by karenyblog
at 5:52 AM,
Add Comment
Soma zaidi
RACHAL MASHISHANGA AUKWAA UENYEKITI BAWACHA MKOA WA SHINYANGA CHADEMA
HUYU HAPA NI RACHAL MASHISHANGA MBUNGE VITI MAALUMU CHADEMA MKOANI SHINYANGA AMEUKWAA UENYEKITI WA BAWACHA CHADEMA MKOA.CHAMA
Cha
Demokrasia na maendeleo (CHADEMA),mkoani Shinyanga hatimaye kimepata
viongozi
wapya wa mkoa ,ikiwa imepita miaka mitatu bila ya kuwa na mwenyekiti wa
mkoa wa
Chama hicho ikiwa wamemchagua Peter Frank kuwa mwenyekiti kushika
nafasi ya aliyekuwa mwenyekiti phlipo Shelembi aliyefariki dunia
mwaka 2011.
var...
Posted by karenyblog
at 8:59 AM,
Add Comment
Soma zaidi
MWANAFUNZI WA DARASA LA TATU,ABAKWA,ATOBOLEWA MACHO NA KUUWAWA.
Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
MWANAFUNZI
wa darasa la tatu katika shule ya msingi Negezi iliyopo kata ya Ndala aliyefahamika
kwa jina la Happy Kashidye (9), Mkazi wa Kata hiyo Manispaa ya Shinyanga siku ya jumapili tarehe 24 ,aliuawa na watu wasio julikana kisha
kumfanyia kitendo cha kumbaka na kumtoboa...
Posted by karenyblog
at 8:18 AM,
Add Comment
Soma zaidi
WAUMINI WA KANISA LA EAGT WAANDAMANA KUMKATAA ASKOFU WA KANISA HILO.
ASKOFU
wa kanisa la EAGT kanda ya magharibi Rafael Machimu
amefikishwa mahakamani na waumini wa kanisa hilo kwa kitendo cha
kumpinga kumfukuza mchungaji wao David Mabushi bila
kutenda kosa lolote jambo ambalo walilieleza ni kwenda kinyume na
taratibu.
Waumini hao wakizungumza kwa nyakati tofauti na waandishi wa habari walisema
wameamua kumfikisha mahakamani Askofu huyo wakipinga kitendo cha
mchungaji wao na...
Posted by karenyblog
at 7:45 AM,
Add Comment
Soma zaidi
WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI WAONGEZEKA KWA KASI KITUO CHA BUHANGIJA KWA HOFU.
Meya wa manispaa ya Shinyanga Gullamu Hafidh Mkadamu akiwa meza kuu na msimamizi ambaye ni mwalimu Peter Ajali wa shule hiyo akikabishiwa fimbo nyeupe 11 za watoto wasioona huku akielezwa wimbi la kuongezeka kwa watoto wenye ulemavu wa ngozi kila siku watoto watatu mpaka wanne.
MKAMA SHAKENGWA NI KIONGOZI KATIKA KITUO CHA KULELEA WATOTO WENYE ULEMAVU MBALIMBALI CHA BUHANGIJA WAKIWEMO ALBINO. WATOTO
wenye ulemavu wa ngozi ...
Posted by karenyblog
at 9:31 AM,
Add Comment
Soma zaidi
SHIDA YA MAJI WATOTO WASHINDISHWA KWENYE VISIMA,WAZAZI WASAKA MAJI NYAKATI ZA USIKU.
WAKAZI wa kitongoji cha Mwabagikulu katika Kjiji cha Ikonongo kata ya Salawe halmashauri ya wilaya ya Shinyanga wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa maji hali ambayo
inawafanya wakazi wa kijiji hicho kuamka nyakati za usiku kutafuta maji huku wakiwa na hofu ya
kuhatarisha maisha yao,ambapo mkazi mmoja wa kijiji hicho Ndelemo
Maguta alisema kuwa inawalazimu kutafuta maji nyakati za usiku sababu
ukienda majira ya mchana hakuna maji huku watu ni wengi,wengine...
Posted by karenyblog
at 4:16 AM,
Add Comment
Soma zaidi
WATUHUMIWA SABA WA MAUAJI YA ALBINO WAKAWAMATWA BARIADI AKIWEMO MGANGA WA KIENYEJI.
Mkuu wa wilaya ya Bariadi Erato Sima ambaye ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama wilayani humo.
JESHI la polisi mkoani Simiyu limefanikiwa kuwakamata watu saba
wanaodhaniwa kuwa wauwaji wa aliyekuwa mlemavu wa ngozi (albino)
Munghu Mugata (40) aliyeuwawa kwa kukatwa mapanga mnamo mwezi mei huko
katika kijiji cha Gasuma kata mwaubingi wilayani bariadi.
Aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni Kudawa Yelema (52) ambaye ni mganga wa jadi,
Sitta Maduhu (39), Jasamila...
Posted by karenyblog
at 10:19 AM,
Add Comment
Soma zaidi
MAKAMPUNI YA UNUNUZI WA ZAO LA PAMBA YAONJA JOTO YA JIWE SOKO LA DUNIA.
BAADHI ya makampuni ya ununuzi wa zao la pamba mkoani
Shinyanga yameonesha kujitoa kuendelea na ununuzi huo kwa kudai kuwa soko
la dunia limeshuka hawatapata faida ambapo chama kikuu cha ushirika
mkoani humo( Shirecu) kimeendelea na ununuzi huo na kufikia kilo millioni
4.8 ikiwa lengo lake kwa mwaka huu ni kufikia kilo zaidi ya millioni 8.
Mojawapo ya kampuni lililojitoa na ununuzi huo ni kampuni ya Ahamu kwa kuona
itapata hasara ambapo asilimia...
Posted by karenyblog
at 12:15 AM,
Add Comment
Soma zaidi
CHANGAMOTO YA KUKOSA SOKO LA UHAKIKA KWA WAKULIMA CHANZO CHA UMASIKINI.
WAKULIMA WAKIWA SHMABANI WAKIVUNA ZAO LA DENGU KATIKA KIJIJI CHA AMANI KATA YA SALAWE HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA.
WAKIBEBA ZAO LA DENGU NA KUPELEKA NYUMBANI KWA KUCHAMBUA.
WAKULIMA wa zao la dengu katika kijiji cha Amani kata ya Salawe halmashauri ya wilaya ya Shinyanga bado wanakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa soko la uhakika kwenye zao hilo ikiwemo miundombinu ya barabara kuwa mibovu hali ambayo
inawafanya kushindwa...
Posted by karenyblog
at 9:41 PM,
Add Comment
Soma zaidi
WIZI WA NYAYA ZA SIMU WASABABISHA HASARA YA ZAIDI YA SHILINGI MILLIONI 133 MANISPAA YA SHINYANGA.
BAADHI ya wananchi manispaa ya Shinyanga wametakiwa kuwapatia elimu
zaidi vijana na kuondoakana na uhalifu ambao chanzo chake ni utumiaji
wa madawa ya kulevya, biashara ya vyuma chakavu ikiwemo wizi wa nyaya za simu
hali ambayo imefanya shirika la mawasiliano ya umma nchini TTCL kwa
wilaya shinyanga kupata hasara ya zaidi ya shilingi million 133.
var obj0=document.getElementById("adsmiddle15420993657888990177");
var obj1=document.getElementById("adsmiddle25420993657888990177");
var...
Posted by karenyblog
at 8:26 AM,
Add Comment
Soma zaidi
MBWA AMTAFUNA MWANAFUNZI WA DARASA LA TATU NA KUPOTEZA MAISHA
Moja ya mbwa anayedaiwa kumla mtoto Ibrahim Faraja Chipungahelo (9) akiwa ameuawa pia.
MWANAFUNZI wa Shule ya Msingi Ludewa
mkoani Njombe, Ibrahim Faraja Chipungahelo (9) ameuawa kikatili na mbwa
wanaosadikiwa kuwa na kichaa kisha kuliwa nyama.
Tukio hilo lililoacha simanzi kubwa kwa
wakazi wa Ludewa mjini lilijiri saa 7 mchana wa Agosti 8, mwaka huu
katika eneo la Ikilu ambapo marehemu na wenzake walikuwa wakipita nje ya
nyumba ya mtu aliyejulikana kwa jina...
Posted by karenyblog
at 8:18 AM,
Add Comment
Soma zaidi
Subscribe to:
Posts (Atom)