Habari za hivi Punde

BAADHI YA WANANCHI PEMBA WAGAWANA NYAMA YA NYANGUMI KWAAJILI YA KITOWEO.

 


Wafanyakazi wa Uvuvi pemba wakimpima Nyangumi aliyeonekana Pemba akiwa ameanguka ufukwe wa bahari wa shamiani.


Wananchi wakikata minufo ya Nyangumi aliyeangukia katika ufukwe wa bahari ya Pemba maeneo ya shamiani, kama wanavyoonekana pichani wakiwa katika harakati hizo.

0 Response to "BAADHI YA WANANCHI PEMBA WAGAWANA NYAMA YA NYANGUMI KWAAJILI YA KITOWEO."

Post a Comment

KARENY. Powered by Blogger.