Habari za hivi Punde

BASI LA SIMBA MTOTO LIMEGONGANA USO KWA USO NA LORI ENEO LA MTO WAMI.

BASI  LA SIMBA MTOTO  LIMEGONGANA USO KWA USO  NA LORI ENEO LA MTO WAMI.
Hili ndio gari lililopata ajali hivi punde. Habari Zilizotufikia hivi punde zinaeleza kutokea kwa ajali ya bus la Simba mtoto na lori zimegongana uso kwa uso eneo la Wami ila taarifa za a hivi ali zimebainisha kuwa dereva wa lori amefariki papo hapo huku abiria wa simba mtoto baadhi yao kupatwa na majeruhi-Picha na Frank msaki Taarifa kamili Tutakuletea .... var obj0=document.getElementById("adsmiddle19176084396510829968"); var obj1=document.getElementById("adsmiddle29176084396510829968"); var...

KIKAO CHA KAMATI YA MICHEZO MKOA WA TANGA WATAKA MICHEZO IPEWE KIPAUMBELE KWA VIJANA.

KIKAO CHA KAMATI YA MICHEZO  MKOA   WA TANGA  WATAKA MICHEZO IPEWE KIPAUMBELE KWA VIJANA.
Kikao cha kamati ya mkoa wa tanga cha mwaka 2014  Afisa michezo mkoa wa tanga,Digna Tesha akitoa ufafanuzi kwenye kikao cha kamati ya michezo mkoa wa tanga.  Wajumbe waliohudhulia mkutano wa kujadili hali ya michezo mkoa wa tanga.  Baadhi ya wajumbe wakichangia juu ya vyama ambavyo havijafika wilayani.   Wajumbe wakimsikiliza afisa michezo wa mkoa wa tanga ambaye hayuko pichani. Afisa michezo wa wilaya ya pangani akichangia kwenye...

KUKOSEKANA ELIMU YA UZAZI WA MPANGO KUMESABABISHA MWANAMKE KUTELEKEZWA MSITUNI NA MUMEWE .

KUKOSEKANA ELIMU YA  UZAZI WA MPANGO KUMESABABISHA MWANAMKE KUTELEKEZWA MSITUNI NA MUMEWE .
Mama mmoja mkazi Mabwepande wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam amevamia kituo cha ITV akiwa na watoto mapacha sita kulalamikia kuishi maisha ya tabu na watoto wadogo baada ya kutelekezwa na mumewe kwa madai ya kuzaa kupita kiasi. Akizungumzia maisha yake mama huyo aliyejitambulisha kwa jina la Salome Paulo Mhando mkazi wa Mabwepande, amesema mume wake amemtelekeza na kumuacha na watoto mapacha sita kwa madai ya kuzaa watoto mapacha kila anaposhika...

MWILI WA BINADAMU ULIOKAA MOCHWARI KWA ZAIDI YA SIKU 50 HATIMAYE UMEZIKWA KIMYAKIMYA -MKOA WA KILIMANJARO MOSHI

MWILI WA BINADAMU ULIOKAA MOCHWARI KWA ZAIDI YA SIKU 50 HATIMAYE UMEZIKWA KIMYAKIMYA -MKOA WA KILIMANJARO MOSHI
Hatimaye mwili wa Rosemary Marandu uliohifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Rufaa ya KCMC kwa siku 53 umezikwa huku maziko hayo yakigubikwa na utata na kuhudhuriwa na wanaume sita.   Mazishi hayo yalifanyika juzi saa 10:30 jioni katika Makaburi ya Karanga mjini hapa na hakuna aliyehudhuria kati ya baba wala mama wa marehemu. Taarifa za kufanyika kwa siri kwa maziko...

MKAZI WA KIJIJI CHA MWAKITOLYO WILAYANI SHINYANGA AVAMIWA USIKU NA KUKATWA MAPANGA SEHEMU MBALIMBALI ZA MWILI WAKE.

MKAZI WA KIJIJI CHA MWAKITOLYO WILAYANI SHINYANGA AVAMIWA USIKU NA KUKATWA MAPANGA  SEHEMU MBALIMBALI ZA MWILI WAKE.
Mkazi wa kijiji na kata ya Mwakitolyo wilaya ya Shinyanga  Mageni Buhimili(54)  ameuawa kwa kukatwa panga kichwani,mikononi na tumboni wakati akila chakula cha usiku nyumbani kwake. Kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga  Justus Kamugisha alisema tukio hilo limetokea Oktoba 26 mwaka huu saa moja na nusu usiku. var obj0=document.getElementById("adsmiddle16892644854291595690"); var obj1=document.getElementById("adsmiddle26892644854291595690"); var...

RAIS WA ZAMBIA MICHAEL SATA AFARIKI DUNIA

RAIS WA ZAMBIA  MICHAEL SATA  AFARIKI DUNIA
HATIMAYE baada ya kuibuka uvumi siku ya Jumanne kuamkia Jumatano juu ya kufariki kwa rais wa Zambia Michael Sata, Serikali ya nchi hiyo imethibitisha kifo chake. Kwa mujibu wa katibu wa baraza la mawaziri, Roland Msiska amethibitisha kifo hicho  cha Sata {77}  kilichotokea baada ya rasi huyo kusafirii kuelekea jijini London Uingereza juma moja lililopita kwaajii ya kupata matibabu. var obj0=document.getElementById("adsmiddle16971934912638593306"); var obj1=document.getElementById("adsmiddle26971934912638593306"); var...

MNIGERIA ARUKA UKUTA WA IKULU YA MAREKANI MARA MBILI SASA APATA MATATIZO.

MNIGERIA ARUKA UKUTA WA IKULU YA MAREKANI MARA MBILI SASA APATA MATATIZO.
  Moja ya taarifa zilizochukua nafasi  wiki iliyopita ni kuhusiana na tukio la mtu mmoja kuruka ukuta wa ikulu ya Marekani, na baadaye kukamatwa baada ya kushambuliwa na mbwa kabla ya kutiwa nguvuni na walinzi wa ikulu hiyo, Secret Service. Habari zinasema hii si mara ya kwanza kwa Mnigeria Dominica Adesanya (23) kuruka ukuta wa White House, na safari hii baada ya kumfikisha mahakamani imebainika kuwa ana tatizo la akili hivyo hawezi kushitakiwa akiwa na hali...

MABOMU MANNE YA KIVITA YAMEKAMATWA YAKIWA YAMEHIFADHIWA ARDHINI HUKO MKOA WA MJINI MAGHARIBI ZANZIBAR

MABOMU MANNE YA KIVITA YAMEKAMATWA YAKIWA  YAMEHIFADHIWA ARDHINI HUKO  MKOA WA MJINI MAGHARIBI ZANZIBAR
  Kamishna wa Polisi Zanzibar, Hamdan Omar Makame alisema mabomu hayo yameingizwa Zanzibar kupitia mtandao maalumu ambao umekuwa ukifanya vitendo vya uhalifu kwa kutumia mabomu hayo var obj0=document.getElementById("adsmiddle11535707255595758459"); var obj1=document.getElementById("adsmiddle21535707255595758459"); var s=obj1.innerHTML; var r=s.search(/\x3C!-- adsense --\x3E/igm); if(r>0) {obj0.innerHTML=s.substr(0,r);obj1.innerHTML=s.substr(r+16);} var obj0=document.getElementById("adsmiddle11535707255595758459"); var...

TIMU YA YANGA YAZIDI KUNG'ARA NI BAADA YA KUIBUKA NA USHINDI MNONO WA MABAO 3-0 DHIDI YA STEND UNITED YA MKOA WA SHINYANGA

TIMU YA YANGA YAZIDI KUNG'ARA NI BAADA YA KUIBUKA NA USHINDI MNONO WA MABAO 3-0 DHIDI YA STEND UNITED YA MKOA WA SHINYANGA
  Bunda la mkosi limeendelea kuiandama Simba baada ya kulazimishwa tena sare ya bao moja kwa moja na maafande wa Prisons katika Uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya wakati mahasimu wao Yanga wakipata ushindi mnnono wa 3-0 dhidi ya Stand United mjini Shinyanga. var obj0=document.getElementById("adsmiddle13351457606555404962"); var obj1=document.getElementById("adsmiddle23351457606555404962"); var s=obj1.innerHTML; var r=s.search(/\x3C!-- adsense --\x3E/igm); if(r>0)...

AJALI YA HIACE -MOSHI, MAJERUHI WAKIMBIZWA HOSPITALI KWA MATIBABU

AJALI YA HIACE  -MOSHI, MAJERUHI  WAKIMBIZWA  HOSPITALI KWA MATIBABU
Hii ndiyo Hiace inavyoonekana mara baada ya kupata ajali Wananchi wakienda kushuhudia ajali hiyo na kutoa msaada kwa majeruhi. Wananchi wakiangalia Hiace hiyo iliyopata ajaliMajeruhi wa ajali hiyo wakiwahishwa hospitalini kwa matibabu zaidiWananchi wakiuangalia mwili wa aliyefariki katika ajali hiyo (uliofunikwa kwa kitenge katikati ya barabara)Ajali mbaya ya gari imetokea hii leo katika eneo la KNCU barabara ya Kibosho Kirima Moshi Kilimanjaro, baada...

BOT KUTOA NOTI YA SHILINGI 1000 NI BAADA YA MALALAMIKO KUTOKA KWENYE FAMILIA YA HAYATI BABA WA TAIFA.

BOT KUTOA  NOTI YA SHILINGI 1000  NI BAADA   YA  MALALAMIKO KUTOKA  KWENYE FAMILIA YA HAYATI BABA WA TAIFA.
Kumbukumbu zako ziko sawa kuhusu yale malalamiko ya kukosewa kwa picha ya Mwalimu Nyerere kwenye noti ya shilingi elfu moja? basi kama hazipo sawa, ichukue hiyo. Baada ya hayo malalamiko unaambiwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imesema imeanza kufanyia kazi malalamiko ya kukosewa kwa picha ya Rais wa kwanza wa Tanzania, Marehemu Mwalimu Julius Nyerere ambapo mkurugenzi wa huduma za kibenki Emmanuel Boaz amesema tayari benki hiyo imeanza...

KAMATI YA BUNGE YA ARDHI,MALIASILI NA MAZINGIRA YATEMBELEA TANGANYIKA PAKERS KWENYE MRADI WA NYUMBA ZA NHC

KAMATI YA BUNGE YA ARDHI,MALIASILI NA MAZINGIRA  YATEMBELEA   TANGANYIKA PAKERS KWENYE MRADI WA NYUMBA ZA NHC
Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Bw. Felix Maagi akiiongoza Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira wakati ilipotembelea eneo la mradi wa nyumba ambao unatarajiwa kuanza katika uwanja wa kulenga shabaha wa jeshi la wananchi Kunduchi, baada ya makubaliano kati ya jeshi la wananchi na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC). Kamati hiyo ikiongozwa na mwenyekiti wake na jimbo la Kahama Mbunge Mh. James Lembeli na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. Profesa...

WANAO WANIA UONGOZI NDANI YA CHADEMA WILAYANI KAHAMA MKOANI SHINYANGA WATWANGANA MAKONDE

WANAO WANIA UONGOZI NDANI YA CHADEMA WILAYANI KAHAMA MKOANI SHINYANGA  WATWANGANA MAKONDE
hapa ni mahali pa ofisi ya chadema  kwa mkoa wa Shinyanga. Uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA,wilaya  ya Kahama mkoani Shinyanga umeingia dosari,baada ya mmoja wa madiwani wa chama hicho kuhusishwa na rushwa na vitendo vya usaliti ndani ya chama kutoka CCM. var obj0=document.getElementById("adsmiddle14772308889844695595"); var obj1=document.getElementById("adsmiddle24772308889844695595"); var s=obj1.innerHTML; var r=s.search(/\x3C!-- adsense...

MWANAUME APIGWA RISASI TUMBONI NYAKATI ZA MCHANA AKIWA NDANI YA GARI-MAGOMENI DAR

MWANAUME APIGWA RISASI  TUMBONI NYAKATI ZA MCHANA AKIWA NDANI YA GARI-MAGOMENI DAR
Mtu asiyefahamika akiwa ndani ya gari lake mara baada ya kupigwa risasi tumboni. Kushoto kwake ni mwanamke aliyekuwa naye garini. ....wapita njiawakijaribu kutoa msaada kwa mtu huyo.… Mtu asiyefahamika akiwa ndani ya gari lake mara baada ya kupigwa risasi tumboni. Kushoto kwake ni mwanamke aliyekuwa naye garini. ....wapita njiawakijaribu kutoa msaada kwa mtu huyo. Muonekano wa nyumba wa gari hilo. ...hawa jamaa nao waligongana, mwendesha pikipiki na mwenye gari...

DREVA WA BODABODA AUAWA KIKATILI KISHA MWILI WAKE KUTELEKEZWA KANISANI.

DREVA WA BODABODA  AUAWA KIKATILI KISHA MWILI WAKE KUTELEKEZWA  KANISANI.
Kijana mwendesha pikipiki akibeba abiria maarufu kama (Boda boda) katika manispaa ya Tabora ameuawa na watu wasiojulikana na kumtelekeza aneo la kanisa katholiki Makokola, na kutoweka na pikipiki yake aina ya Sanlg huku kisu kilichodaiwa kutumika kumuua kikitelekezwa eneo hilo. Akizungumza kwa masikitiko eneo la tukio alipouawa mwendesha pikipiki huyo, katibu wa chama cha waendesha Bodaboda Bw.Kasim Kiduli amesema kuwa, matuikio ya kukatisha maisha ya waendesha pikipiki inaonesha...

WATU WATANO WANUSURIKA KUFA KWENYE AJALI YA GARI-KIMARA DAR

WATU WATANO WANUSURIKA KUFA KWENYE AJALI YA GARI-KIMARA DAR
Gari aina ya Mitsubishi Canter likiwa pembezoni mwa barabara baada ya ajali hiyo. Muonekana wa gari hilo baada ya ajali. Baadhi ya raia waliokuwa kwenye eneo la tukio Polisi wakiwa eneo la tukio. Watu watano wamenusurika kufa kwa ajali Kimara Dar es Salaam baada ya gari dogo aina ya Toyota Rav 4 iliyokuwa ikitokea Kimara kuelekea Ubungo kuhama upande wa pili wa barabara na kugongana uso kwa uso na gari aina ya Mitsubishi Canter na kusababisha dereva wa Canter kuumia vibaya...

MBUNG MREMA ANENA JIMBONI KWAKE AHAMASISHA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

 MBUNG MREMA ANENA JIMBONI KWAKE AHAMASISHA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
 Mbunge wa jimbo la Vunjo na Mwenyekiti wa chama cha TLP,Dk.Augustine Lyatonga Mrema akihutubia mkutano wake wa hadhara jimboni kwake  jana kwa ajili ya kuhamasisha uchaguzi wa serikali za mitaa na pia kuelezea utekelezaji wa miradi ya Maendeleo,aidha katika jimbo hilo la Vunjo kumekuwepo na Mvutano mkubwa kwa vyama vya CCM,Innocent Shirima na Mh.James Mbatia wa NCCR-Mageuzi. habari hii kwa msaada wa eddymobilize.blogspot.com var obj0=document.getElementById("adsmiddle14637130111242484874"); var...
KARENY. Powered by Blogger.