Mtoto
Nuru kabla yakufikwa na umauti pichani alipo kuwa na miaka 3.Mtoto huyo
anadaiwa kunyongwa Alhamisi iliyopita na kuzikwa katika Makaburi ya
Majohe kwa Muslim (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA BILALI) Mmiliki wa Blog
ya UJIJIRAHAA.
Nguo ya Mmtoto huyo alio kua ameivaa kabla ya kunyongwa kinyama .
Mama wa
marehemu Nuru Mohamedi , ambaye ni Sauda Ally. akiwa amelala kutokana
na kuishiwa nguvu mwilini kwa kufikwa na tukio hilo. wakati akiongea
na mwandishi wa...
Home » Archive for November 2014
NANI KAFANYA UNYAMA HUU,MTOTO WA MIAKA 3 ANYONGWA NA WATU WASIOJULIKANA
Posted by karenyblog
at 7:10 PM,
Add Comment
Soma zaidi
SHULE YA MSINGI YA FILBERT BAYI ILIYOPO KIBAHA IMETEKETEA KWA MOTO.

apani wanakijiji wanao kaa kalibu na shule hiyo wakishuudia shule iyo ikiwaka moto uku wakishindwa kutoa msaada wowote kutokana na gari la zima moto la mkoa wa pwani kushindwa kufika kutokana na kudai kuwa ni bovu
Mnamo majira ya
saa8 usiku wa kuamkia leo Shule ya msingi iyo iliyopo kibaha mkoani
pwani maeneo ya kwamatiasi usiku wa kuamkia leo imeungua moto
yote.chanzo ikiwa ni shot
ya umeme iliyo jitokeza kwenye chumba kimoja cha madarasa hayo na
kusababisha madarasa...
Posted by karenyblog
at 2:57 AM,
1 Comment
Soma zaidi
SERIKALI YA CHINA IMELAANI VIKALI KUHUSISHWA TUHUMA ZA NDEGE YA RAIS KUBEBA MENO YA NDOVU
.jpg)
Balozi
wa China nchini Tanzania,Mh. Lu Youqing akizungumza na vyombo vya
habari mjini Arusha leo juu ya tuhuma za kuhusishwa kwa Ndege ya Rais wa
China kubeba meno ya ndovu kutoka nchini.Katikati ni Waziri wa
Maliasili na Utalii,Mh. Lazaro Nyalandu na kulia ni Mwenyekiti wa Kamati
ya Bunge ya Maliasili na Utalii,Mh. James Lembeli.
Serikali
ya China imelaani vikali uzushi uliotolewa na vyombo vya magharibi
kutuhumu ndege ya Rais huyo kutumika kubeba meno ya ndovu kutoka...
Posted by karenyblog
at 11:40 PM,
Add Comment
Soma zaidi
ATHONY LUSEKELO (MZEE WA UPAKO) ADAIWA KUMTISHIA MAISHA KIJANA AMBAYE NI MUUMINI WA GWAJIMA.
Kijana
anayejitambulisha kwa jina la Robert Lugala, anayedai kutishiwa maisha
na Mchungaji Lusekelo Anthon. Akizungumza na waandishi wetu juzi jijini
Dar, Robert ambaye shughuli zake ni kuuza chipsi usiku kucha, alisema
mara kwa mara Mzee wa Upako amekuwa akimfuata eneo lake la kazi na
kumtishia maisha kwa kumwambia maneno mbalimbali yenye vitisho.
“Mara ya kwanza ilikuwa Oktoba 9, mwaka huu saa kumi kasoro usiku. Alipaki gari lake, Land Cruiser (Toyota) nyeusi.
LILE
sakata...
Posted by karenyblog
at 11:36 PM,
Add Comment
Soma zaidi
WAUMINI WA KANISA LA KKKT WAMETAKIWA KUISOMA KATIBA PENDEKEZO.

WAUMINI wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-KKKT-mission
ya Tabora wametakiwa kuisoma rasimu ya katiba iliyopendekezwa na kuielewa
ili waweze kuipigia kura ya maoni.
Akizungumza katika ibada ya Jumapili Mchungaji Kiongozi wa Kanisa
la KKKT mission ya Tabora, Patrick Kiula, alisema waumini wamekuwa ni watu
wavivu wa kusoma na hivyo kubaki kulalamika tu.
var obj0=document.getElementById("adsmiddle12226498489399188946");
var...
Posted by karenyblog
at 6:40 AM,
Add Comment
Soma zaidi
WANAFUNZI WAASWA KUSOMA MASOMO YENYE TIJA YANAYOENDANA NA SOKO LA AJIRA.
WANAFUNZI wa shule za Sekondari mkoani Shinyanga wametakiwa kusoma
masomo yenye tija yatakayokwenda sambamba na soko la ajira hasa katika wakati
huu mgumu wa kuajiriwa.
Kauli hiyo ilitolewa na mkuu wa
wilaya ya Kahama Benson
Mpesya kwenye maafali ya kumaliza kidato cha nne kwa wanafunzi wa shule ya
sekondari ya Kishimba iliyopo katika halmashauri ya mji wa Kahama.
Katika mahafali hayo Mpesya aliyewakilishwa na Afisa uhamiaji
wilayani humo Zacharia Misana alisema...
Posted by karenyblog
at 6:35 AM,
Add Comment
Soma zaidi
UKATILI KWA WATOTO MKOANI SHINYANGA BADO CHANGAMOTO KUBWA INAKADIRIWA KWA SIKU WATOTO 16 MKOANI SHINYANGA HUPEWA UJAUZITO.

Vitendo
vya ukatili dhidi ya watoto vinaendelea kushika kasi mkoani Shinyanga
huku takwimu zikionesha kuwa watoto 16 wanapewa ujauzito kila siku na
wengine 500 wakiachishwa shule kila mwaka kutokana na mimba na ndoa za
utotoni.
Takwimu
hizo zimetolewa wiki hii na Mkurugenzi wa Shirika la lisilo la
kiserikali linaloteteaa haki za watoto na wanawake la AGAPE mkoani
Shinyanga John Myola (PICHANI)wakati akizungumza na waandishi wa habari
mjini Shinyanga.
var...
Posted by karenyblog
at 3:20 AM,
Add Comment
Soma zaidi
KIJANA ALIPUKIWA NA KITU KIDHANIWACHO NI BOMU AKIWA NDANI YA GARI AINA YA FUSO.

TUNAOMBA RADHI KWA PICHA HIZI MSOMAJI WETU.
Tarehe
01/11/2014 muda wa saa 07:45hrs katika center ya Mhunze tarafa ya
Kishapu na Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga kumetokea kifo cha mtu
mmoja na watu watatu kujeruhiwa na kitu kinachodhaniwa kuwa ni bomu
kulipuka ndani ya gari.
Gari
hilo ni lenye namba za usajili T. 848 AKA MITSHUBISH FUSSO
likiendeshwa na Khalifa s/o Mussa 39, muhangaza wa Ngara ambalo lilitoka
tarehe 31/10/14 saa 04:00 hrs mjini Ngara...
Posted by karenyblog
at 2:55 AM,
Add Comment
Soma zaidi
MKUTANO WA CHADEMA MKOANI SHINYANGA WAHIMIZA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUPIGIA KURA

Maelfu
ya wakazi wa mji wa Shinyanga na maeneo ya jirani waliojitokeza jioni
ya leo katika viwanja vya mahakama ya mwanzo Nguzo nane mjini Shinyanga
katika mkutano mkubwa wa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema Taifa
ndugu Halima Mdee ambaye pia ni mbunge wa Jimbo la Kawe.Pamoja na mambo
mengine viongozi mbalimbali wa Chama hicho walisisitiza umuhimu wa
kujiandikisha katika daftari la wapiga kura na kujitokeza kupiga kura
katika uchaguzi wa serikali za mitaa Desemba 14,2014...
Posted by karenyblog
at 10:34 AM,
Add Comment
Soma zaidi
KIJANA MMOJA ANUSURIKA KIFO KWA KUTUHUMIWA KUIBA BODABODA
Kibaka huyo akiomba msamaha baa
da ya kupokea kichapo kutoka kwa kundi la wananchi waliofulika kwenye ukumbi huo.
Kijana mmoja
anayesadikiwa kuwa kibaka amepokea kichapo kutoka kwa wananchi wenye
hasira baada ya kibaka huyo kukamatwa nakijaribu kuiba boda boda .
Mabausa wa ukumbi huo wakimtoa nje kibaka akiwa na Pingu mkononi
var obj0=document.getElementById("adsmiddle1809369019845141893");
var obj1=document.getElementById("adsmiddle2809369019845141893");
var...
Posted by karenyblog
at 10:20 AM,
Add Comment
Soma zaidi
ASKARI WA KIKE (WP) AFANYA UKATILI AMKATA VIDOLE MFANYAKAZI WAKE WA NDANI NA KUMNYIMA MSHAHARA

JESHI la
Polisi mkoani Mwanza linamshikilia askari wake WP Fatuma wa Kituo cha
Polisi Igogo wilayani Nyamagana kwa kosa la kumjeruhi mtumishi wake wa
ndani kwa mkumkata vidole vyake vinne vya mkono wa kulia kwa panga,
akimtuhumu kumwibia Deki ya Video nyumbani kwake.
Tukio
hilo la kujeruhiwa kijana Steven Magessa (18), lilitokea Oktoba 20 mwaka
huu katika kijiji cha Magange Mugumu wilayani Serengeti mkoani Mara
nyumbani kwao kijana huyo aliyekuwa amekimbilia huko...
Posted by karenyblog
at 2:27 AM,
Add Comment
Soma zaidi
Subscribe to:
Posts (Atom)