WAZEE mkoani
Shinyanga wameiomba serikali kuwapatia
mikopo yenye mashart nafuu ili waweze
kujinyanyua kiuchumi kutokana na kuishi
maisha yenye umasikini uliokithiri nakuwa tegemezi katika familia.
Wazee
hao waliyasema hayo katika kikao cha kuhamasisha vyombo vya
habari kuhusu masuala ya wazee kwa
waandishi wa habari kilichoandaliwa na taasisi isiyo ya kiserikali inayoongozwa na wanawake
wenye taaluma ya kilimo na mazingira (Tawlae)...
Home » Archive for December 2015
WAZEE MKOANI SHINYANGA WAOMBA MIKOPO YENYE MASHART NAFUU

Posted by karenyblog
at 9:04 AM,
Add Comment
Soma zaidi
Subscribe to:
Posts (Atom)