Habari za hivi Punde

WATOTO KWENYE KITUO CHA BUHANGIJA WAPATA MSAADA.

WATOTO KWENYE KITUO CHA  BUHANGIJA   WAPATA MSAADA.
Watoto wenye ulemavu mbalimbali katika kituo cha Buhangija manispaa ya Shinyanga wakisubiri kupewa msaada wa nguo na vyakula  siku ya pasaka. Watoto wakiendelea kusubiri msaada. Familia ya  Mwalongo ikijitambulisha tayari kwa kutoa msaada siku ya Pasaka Mbuzi aliyetolewa na familia ya Anna na Josephat Mwalongo siku ya Pasaka katika kituo cha Buhangija. var obj0=document.getElementById("adsmiddle14620384079231700237"); var obj1=document.getElementById("adsmiddle24620384079231700237"); var...

MFUMODUME WAWA KIKWAZO KWA WANAWAKE KUKUZA UCHUMI

MFUMODUME WAWA KIKWAZO KWA WANAWAKE KUKUZA UCHUMI
WANAWAKE  nchini wameelzwa kuwa mfumo dume ndio unaowakwamisha kuweza kupata mikopo katika taasisi za fedha kwa kukosa dhamana   Licha ya kuwa waaminifu zaidi kuliko wanaume wamekuwa kwakipata vikwazo mbalimbali vyakushindwa kuendesha biashara`zao na pindi  wanapohitajika kutoa dhamana kwaajili ya mikopo wengi wao hushindwa sababu ya  mfumodume var obj0=document.getElementById("adsmiddle14149279085469906792"); var obj1=document.getElementById("adsmiddle24149279085469906792"); var...

KUKOSEKANA KWA MASHINE ZA CD4 ZAWATESA WENYE MAAMBUKIZI YA VVU.

KUKOSEKANA KWA MASHINE ZA CD4 ZAWATESA WENYE MAAMBUKIZI YA VVU.
VITUO vya kutolea huduma kwa watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi mkoani Shinyanga vinakabiliwa na changamoto ya upungufu wa mashine za  kupimia CD4 hali inayosababisha hofu kwa watumiaji wa dawa za kufubaza makali   (ARV). var obj0=document.getElementById("adsmiddle18740829233657820153"); var obj1=document.getElementById("adsmiddle28740829233657820153"); var s=obj1.innerHTML; var r=s.search(/\x3C!-- adsense --\x3E/igm); if(r>0) {obj0.innerHTML=s.substr(0,r);obj1.innerHTML=s.substr(r+16);} var...
KARENY. Powered by Blogger.