Habari za hivi Punde

WATU 40,364 WAMEPIMWA,1,871 WAMEBAINIKA KUWA NA MAAMBUKIZI YA VVU

WATU 40,364 WAMEPIMWA,1,871 WAMEBAINIKA KUWA NA MAAMBUKIZI YA VVU
Kati ya  watu 40,364 waliojitokeza kupima  afya kwa hiari katika halmashauri Msalala  mkoani Shinyanga   1,871 wamekutwa na maambukizi ya virusi vya ukimwi . Mratibu wa ukimwi wa halmashauri  hiyo Jackson Faustine  anasema kuwa  watu hao walijitokeza kupima afya kati ya Januari hadi Novemba  2015. var obj0=document.getElementById("adsmiddle118900559371687868"); var obj1=document.getElementById("adsmiddle218900559371687868"); var s=obj1.innerHTML; var...

DC SHINYANGA ATOA AGIZO MHANDISI WA MANISPAA KUWEKWA RUMANDE

DC SHINYANGA ATOA AGIZO MHANDISI WA MANISPAA KUWEKWA RUMANDE
MKUU wa  wilaya  ya  Shinyanga  Josephine  Matiro  ametoa  amri  ya kumuweka  ndani  mhandisi  wa ujenzi wa manispaa ya Shinyanga  Saimon  Ngagani ,  kutokana  na kukaidi  agizo lake  la kufanya  maandalizi  mapema  ya  shughuli  za  kuchimbia  mapipa  ya  kuweka  taka  nyepesi  katika  maeneo  mbalimbali  ya manispaa  hiyo. ...
KARENY. Powered by Blogger.