Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Antony Mtaka
amewataka wakuu wa wilaya wapya kuhakikisha wanakomesha mahakama za kimila maarufu kama Ndagashida
ambazo zimekuwa zikitoa adhabu kwa watumishi wa umma wasio na hatia hali inayopelekea kutokea kwa mauaji , vilema vya maisha sambamba na
kuwafirisi mali zao.
Akitoa wito huo jana wakati wa
kuapishwa wakuu hao ,Mtaka alieleza kuwa ni muhimu kwa wakuu hao kuzingatia suala
hilo katika wilaya...
Home » Archive for July 2016
RC-SIMIYU AMEWATAKA WAKUU WA WILAYA WAPYA KUKOMESHA MAHAKAMA ZA KIMILA
Posted by karenyblog
at 8:43 AM,
Add Comment
Soma zaidi
SHINYANGA BADO YAKABILIWA NA UPUNGUFU WA MADAWATI 9,545
WAKATI JANA ni mwisho wa ukamilishaji wa madawati mkoa wa Shinyanga umeshindwa
kukamilisha agizo la Rais John Magufuli la kutatua
tatizo la uhaba wa Madawati kwa shule za msingi na sekondari ambapo bado
inakabiliwa na upungufu wa madawati 9,545
Akitoa takwimu
hizo juzi Ofisa Elimu taaluma mkoa James Malima alisema katika shule za msingi kuna upungufu wa
madawati 7,310, sekondari 2,235 na kufanya jumla kuu kuwa ni 9,545 huku
utengenezaji wa madawati hayo kwenye...
Posted by karenyblog
at 3:12 AM,
Add Comment
Soma zaidi
Subscribe to:
Posts (Atom)