Habari za hivi Punde

RC-SIMIYU AMEWATAKA WAKUU WA WILAYA WAPYA KUKOMESHA MAHAKAMA ZA KIMILA

RC-SIMIYU AMEWATAKA WAKUU WA WILAYA  WAPYA KUKOMESHA MAHAKAMA ZA KIMILA
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Antony Mtaka amewataka wakuu wa wilaya wapya kuhakikisha wanakomesha  mahakama za kimila maarufu kama  Ndagashida  ambazo zimekuwa zikitoa adhabu kwa watumishi wa umma  wasio na hatia hali inayopelekea kutokea kwa  mauaji , vilema vya maisha sambamba na kuwafirisi mali zao.   Akitoa wito huo jana wakati wa kuapishwa  wakuu hao  ,Mtaka alieleza kuwa  ni muhimu kwa wakuu hao kuzingatia suala hilo  katika wilaya...

SHINYANGA BADO YAKABILIWA NA UPUNGUFU WA MADAWATI 9,545

SHINYANGA BADO YAKABILIWA NA UPUNGUFU WA MADAWATI 9,545
WAKATI  JANA ni mwisho wa ukamilishaji wa madawati mkoa wa Shinyanga umeshindwa kukamilisha agizo la Rais John Magufuli la kutatua tatizo la uhaba wa Madawati kwa shule za msingi na sekondari ambapo bado inakabiliwa na upungufu wa madawati 9,545 Akitoa takwimu hizo juzi Ofisa Elimu taaluma mkoa James Malima alisema  katika shule za msingi kuna upungufu wa madawati 7,310, sekondari 2,235 na kufanya jumla kuu kuwa ni 9,545 huku utengenezaji wa madawati hayo kwenye...
KARENY. Powered by Blogger.