Habari za hivi Punde

WAFANYABIASHARA SOKO LA NGUZONANE WALALAMIKIA ONGEZEKO LA USHURU

WAFANYABIASHARA SOKO LA NGUZONANE WALALAMIKIA ONGEZEKO LA USHURU
WAFANYABIASHARA  wa vibanda katika soko la Nguzo nane manispaa ya Shinyanga mkoani hapa wamelalamikia ongezeko la kutozwa ushuru kutoka shilingi 15,000 na kupandishiwa shilingi 30,000 jambo ambalo wamemuomba mkurugenzi wa manispaa hiyo Festo Kang’ombe kuongea nao ili kutatua suala hilo. Wafanya biashara hao wakizungumza na waandishi wa habari katika soko hilo jana walisema kuwa kilio chao kikubwa ni kumuomba mkurugenzi wa manispaa hiyo waongee nae kwani wamekuwa wakipandishiwa...

WAAJIRI WATAKIWA KUACHA KUPOKEA RUSHWA KWA LENGO LA KUMPITISHA MFANYAKAZI BORA SIKU YA MEIMOSI

WAAJIRI WATAKIWA KUACHA KUPOKEA RUSHWA KWA LENGO LA KUMPITISHA MFANYAKAZI BORA SIKU YA MEIMOSI
WAAJIRI wa Serikali na mashirika yasiyo ya kiserikali mkoani hapa wametakiwa kuacha kupokea rushwa na kupendelea pindi wanapoteuwa wafanyakazi bora ambao wanastaili kupewa zawadi katika siku ya kilele cha maadhimisho ya sikukuu za wafanyakazi Duniani Meimosi Akizungumza katika kikao cha wadau wa sherehe za Meimosi juzi mjini shinyanga mkuu wa mkoa Shinyanga Ally Rufunga, wakati wadau hao wakijadili mikakati ya kufanikisha maadalizi ya sherehe hizo alisema kumekuwa na tabia kwa...

MADIWANI WALIOJIUZURU NA KUJIVUA UANACHAMA CHADEMA WAJIUNGA NA CCM MKOANI SHINYANGA

MADIWANI WALIOJIUZURU NA KUJIVUA UANACHAMA CHADEMA WAJIUNGA NA CCM MKOANI SHINYANGA
MADIWANI waliojiuzuru  nyasifa hiyo na kuamua kuondoka  katika chama cha CHADEMA  ambao ni  Sebastiani  Peter na Zacharia Mfuko  wamejiunga rasmi  na chama cha Mapinduzi  (CCM) mbele ya katibu wa itikadi na uenezi Nape Nnauye na uongozi wa mkoa wa chama hicho. Maelfu ya wakazi  wa mkoa wa Shinyanga wakihudhuria mkutano wa hadhara  uliofanyika katika viwanja  vya  Mahakama Nguzo nane  huku wakishuhudia waliokuwa...

TANESCO MIKOA YA SIMIYU NA SHINYANGA YAWAONYA VISHOKA WANAOHARIBU MIUNDOMBINU

TANESCO MIKOA YA SIMIYU NA SHINYANGA YAWAONYA VISHOKA WANAOHARIBU MIUNDOMBINU
SHIRIKA la umeme Tanzania (TANESCO) katika mikoa ya simiyu na shinyanga limewaonya  wale wote watakao haribu miundo mbinu ya shirika hilo  wakiwemo  vishoka ambao wamekuwa wakililetea shirika hasara kubwa  kwa kuharibu mita na kufanya gharama za uzalishaji na uendeshaji kuwa kubwa hivyo watakao bainika  kwa uhalibifu  huo watachukuliwa hatua kali za kisheria. Hayo yalibainishwa mjini shinyanga kwenye mkutano wa hadhara na Afisa mkuu wa huduma...

MADIWANI WA CHADEMA MANISPAA YA SHINYANGA WAJIUZURU NYASIFA HIZO

MADIWANI WA CHADEMA MANISPAA YA SHINYANGA WAJIUZURU NYASIFA HIZO
MADIWANI wawili wa chama cha maendeleo chadema  wametamka rasmi kujiuzuru nyasifa hiyo kutokana na madai ya uongozi ngazi ya taifa  kuendelea kusikiliza majungu,kudhalilisha baadhi ya viongozi  pamoja na  kuwaita  wahaini au wasaliti katika chama  bila kuchambua ukweli na kutotekeleza waliyoyaahidi kwa wanachama wao.  Madiwani hao ni Sebastiani Peter  kutoka kata ya Ngokolo na Zacharia Mfuko kutoka kata ya Masekelo kwa pamoja jana...

MAHAKAMA KUU KANDA YA TABORA YAANZA KUSIKILIZA KESI ZA MAUAJI MKOANI SHINYANGA NA SIMIYU.

MAHAKAMA KUU KANDA YA TABORA YAANZA KUSIKILIZA KESI ZA MAUAJI MKOANI SHINYANGA NA SIMIYU.
MAHAKAMA  kuu kanda ya Tabora imeanza kusikiliza kesi za mauaji  mbalimbali katika mkoa wa Shinyanga kwa mwaka huu ikiwa kesi kumi na moja  zitasikilizwa ndani ya mwezi mmoja ikiwemo  mauaji yanayotokana na imani za kishirikina. Ambapo mara baada ya kumalizika ufunguzi wa kusikiliza kesi hizo mahakama  ilianza  kwa kuangalia upande wa  mtuhumiwa Mbula  Mako aliyekuwa mganga wa kienyeji  kufanya mauaji  dhidi ya kikongwe Buguta Mashilima...

VIJANA KUTOJITAMBUA WAMESHINDWA KUSHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA MCHAKATO WA KUTOA MAWAZO YAO RASMU YA KATIBA MPYA

VIJANA KUTOJITAMBUA WAMESHINDWA KUSHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA MCHAKATO WA KUTOA MAWAZO YAO RASMU YA KATIBA MPYA
KITENDO cha vijana kutokujitambua  kumesababisha washindwe kushiriki kikamilifu katika  mchakato wa kutoa mawazo yao kuhusu rasmu ya katiba mpya. Hayo yalielezwa na Mkurungenzi wa Asasi  isiyo ya kiserikali inayotetea haki za wanawake na  watoto wenye maambukizi ya virusi  vinavyosababisha  Ukimwi  (AGAPE)   John  Myolla   katika ufunguzi   wa kongamano la vijana kujadili rasmu ya katiba mpya lililofanyika mjini...

ZAIDI YA ASILIMIA 80 YA VIJANA NCHINI HUFANYIWA UKATILI

ZAIDI YA ASILIMIA 80 YA VIJANA NCHINI HUFANYIWA UKATILI
ZAIDI ya asilimia 80 ya vijana nchini  wenye umri  kati ya miaka   13 hadi 24 wameripotiwa kunyanyaswa kingono,kudhalilishwa kihisia na kujeruhiwa walipokuwa watoto chini ya umri wa miaka 18 huku matukio hayo  yakishamiri zaidi sehemu za shule na kuathiri uwezo wa  watoto kielimu.    Hayo yalielezwa jana na meneja wa shirika la  Save The Children mkoa wa Shinyanga Augustino Mwashiga wakati wa uzinduzi  mradi wa kudhibiti ukatili dhidi...

SHULE ZA MSINGI TATU KATA YA NDEMBEZI MANISPAA YA SHINYANGA ZAPATA MSAADA WA MAHINDI

SHULE ZA MSINGI TATU  KATA YA NDEMBEZI  MANISPAA YA SHINYANGA ZAPATA MSAADA WA MAHINDI
SHULE za msingi  tatu zilizopo  kata ya ndembezi  manispaa ya shinyanga  zimepatiwa jumla ya magunia  kumi na moja ya  msaada wa mahindi yenye thamani ya shilingi  lakitano na nusu kwaajili ya  wanafunzi kupata  uji asubuhi  wakiwa shuleni hapo ili kuondokana na ubagudhi wa wasiolipa fedha kutokunywa uji na waliolipa kunywa. Msaada huo wa mahindi yaliyotoka kwenye kitengo cha maafa ofisi ya waziri mkuu na kuamua kuyanunua ...

SHULE YA SEKONDARI MASEKELO INAKABILIWA NA CHANGAMOTO MBALIMBALI IKIWEMO UKOSEFU WA VIWANJA VYA MICHEZO,UHABA WA MAJI PAMOJA NA MASHAMBA

SHULE YA SEKONDARI MASEKELO  INAKABILIWA NA CHANGAMOTO MBALIMBALI IKIWEMO UKOSEFU WA VIWANJA VYA MICHEZO,UHABA WA MAJI PAMOJA NA  MASHAMBA
SHULE ya sekondari   Masekelo iliyopo kwenye kata hiyo manispaa ya Shinyanga  inakabiliwa na changamoto mbalimbali  ya kukosa eneo kwaajili viwanja vya michezo, mashamba ya kulima vyakula ,uhaba wa maji , hali ambayo inawafanya  wanafunzi wa shule hiyo kukosa haki zao za msingi. Zoezi la utekelezaji kilimo cha mtama kwa shule hiyo halipo sababu ya kukosa mashamba,hakuna eneo lililotengwa  viwanja vya michezo ikiwa wananchi wanalima mpaka nyuma ya madarasa...

CHANGAMOTO YA KURIPOTI KWA WANAFUNZI KIDATO CHA KWANZA IMEKUWA NI TATIZO MKOANI SHINYANGA.

CHANGAMOTO YA KURIPOTI KWA WANAFUNZI KIDATO CHA KWANZA IMEKUWA NI TATIZO MKOANI SHINYANGA.
CHANGAMOTO ya kuozesha wanafunzi wa kike mara wanapohitimu darasa la saba  huku wavulana wakiendelea kutumikishwa na shughuli za uchungaji mifugo na mambo mengine imekuwa  kubwa  ndani ya jamii na kufanya hali  ya kuripoti kwa wanafunzi wa  shule za sekondari waliochaguliwa kuingia kidato cha kwanza  mkoani Shinyanga  kufikia  asilimia 78 .  Hayo yalisemwa  na mkuu wa mkoa wa huu  Ally Rufunga wakati akiongea na waandishi wa habari...

MAUAJI YA ALBINO YAMEPUNGUA ,YANAYOENDELEA NI MAUAJI YA KUWANIA URITHI,ARDHI PAMOJA NA IMANI ZA KISHIRIKINA

MAUAJI YA ALBINO YAMEPUNGUA ,YANAYOENDELEA NI MAUAJI YA KUWANIA URITHI,ARDHI PAMOJA NA IMANI ZA KISHIRIKINA
SERIKALI mkoani Shinyanga  imeeleza kupungua kwa mauaji ya albino kwa kiwango kikubwa  ikiwa kwa mwaka jana hakuna tukio lolote lililotokea la mauaji hayo isipokuwa mauaji ya watu wengine wakimweo vikongwe kuendelea kujitokeza  kwa kusababishwa  kugombea  mirathi,ardhi pamoja na  imani za kishirikina. Hayo yalisemwa  na mkuu wa mkoa wa Shinyanga  Ally Rufunga wakati akiongea na waandishi wahabari katika ukumbi  wa mkoa huku akieleza  kuwa...

MAMA NA MWANAYE WAULIWA KIKATILI NA WATU WASIOJULIKANA

MAMA NA MWANAYE WAULIWA KIKATILI NA WATU WASIOJULIKANA
MAMA na mwanaye  wameuwawa kikatili kwa kucharangwa mapanga na watu wasiojulikana kwa kuwavamia nyumani kwao  majira ya  usiku  huko  katika kijiji cha Ngokolo wilayani Kahama mkoani Shinyanga  Watu hao  waliofahamika kwa majina  ya Helena Charles(30)   na Mlu Nambo ( 50)  Kwa mujibu wa taarifa ya kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga  Evarist Mangala tukio hilo limetokea juzi majira ya saa moja na nusu usiku katika...

UKATILI WA KIJINSIA KATIKA JAMII UNALETWA NA MTAZAMO HASI

UKATILI WA KIJINSIA KATIKA JAMII UNALETWA NA MTAZAMO HASI
UKATILI wa kijinsia  katika jamii na familia   unaletwa  na mtazamo hasi  kwani  matendo kati ya mwanamke na mwanaume  yanategemeana  ambapo  mifarakano hutokea kwa kupingana na kuendeleza changamoto zilizomo kwenye mila na desturi   ikiwemo kuwazuia watoto wa kike  kupata elimu ,ndoa za utotoni   pamoja na ukeketwaji. Hayo yalisemwa na mwezeshaji  ambaye ni pia ni mhariri mtendaji wa gazeti la...

WANANCHI MKOANI SIMIYU WALILALAMIKIA SHIRIKA LA UMEME TANESCO

WANANCHI MKOANI SIMIYU WALILALAMIKIA SHIRIKA LA UMEME TANESCO
WANANCHI  mkoani Simiyu wamelilamikia Shirika la Ugavi Umeme (TANESCO)  kwa tabia ya kukata kata umeme bila taarifa na kuwaweka gizani wateja wake kwa mara kwa mara hali ambayo inawatia hasara kubwa kwa kuunguza vyombo mbalimbali vinavyotumia umeme ikiwemo wajasiriamali kushuka kwa vipato vyao. Licha ya shirika hilo kuahidi mara kadhaa kuondwa tatizo la umeme linaondolewa tangu mwishoni mwa mwaka jana lakini hali ya katakata umeme na wananchi kulala gizani na kushindwa kufanya...

MADIWANI BARIADI WAKATAA KUPITISHA TAARIFA YA MAAFA KWA KUDAI NI MWAKA JANA

MADIWANI BARIADI WAKATAA KUPITISHA TAARIFA YA MAAFA  KWA KUDAI NI  MWAKA JANA
Baraza la madiwani la halmashauri ya mji wa Bariadi  mkoani Simiyu  limeikata taarifa ya maafa katika vijiji mbalimbali vilivyotokea na kudai kuwa ni ya mwaka jana huku afisa kilimo Issa Mtweve akishindwa   kuorodhesha vijiji vilivyoadhirika na janga  la njaa wilayani humo. Wakiongea ndani ya kikao cha baraza hilo madiwani hao walisema kuwa vijiji vilivyokuwa vimeorodheshwa katika taarifa hiyo havikuwa sahihi, kutokana na kuwa vichache kulinganisha...

ZOEZI LA UNYWAJI UJI KWA WANAFUNZI SHULE YA MSINGI IHUGI HUENDA LIKASITISHWA KUTOKANA NA WAZAZI KUKOSA FEDHA ZA MICHANGO

ZOEZI LA UNYWAJI UJI KWA WANAFUNZI SHULE YA MSINGI IHUGI  HUENDA LIKASITISHWA KUTOKANA NA WAZAZI KUKOSA FEDHA ZA MICHANGO
ZOEZI  la  kunywa uji kwa wanafunzi wa  shule  ya msingi Ihugi kata ya Lyamidati   katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga huenda likasitishwa kutokana na shule hiyo kukosa chakula na wazazi kuwa na hali ngumu ya kifedha katika kusaidia upatikanaji  wa unga.  Akiongea na mwandishi wa habari aliyetembelea shuleni hapo , mwalimu mkuu wa shule hiyo  Ayoub Mesoyo   alieleza  kuwa  shule imefunguliwa lakini zoezi la kupata...

WAUZAJI TINDIKALI WATAKIWA KUJISAJILI KATIKA OFISI YA MKEMIA MKUU WA SERIKALI

WAUZAJI TINDIKALI WATAKIWA KUJISAJILI KATIKA OFISI YA MKEMIA MKUU WA SERIKALI
JESHI la polisi mkoani Simiyu limewataka wauzaji wa tindikari mkoani humo  kuhakikisha wanasajiliwa na ofisi ya mkemia mkuu wa serikali, ili kutambulika kisheria sambamba na kupewa utaratibu wa matumizi sahihi ya bidhaa hiyo kwa lengo la kuondoa matumizi mabaya ikiwemo kuwadhuru watu. Mbali na hilo kamanda  wa jeshi hilo Charles mkumbo amewatahadharisha wananchi wote ,kuwa kwa yeyote atakayekutwa na tindikari mtaani, atakamatwa, ikiwa pamoja na kufikishwa mahakani. Akiongea...

JESHI LA POLISI LAWASHIKILIA WATU TISA KWA TUHUMA YA MAUAJI YA WANAWAKE WAWILI WALIOTUHUMIA KUZUIA MVUA ISINYESHE KATIKA KIJIJI CHA MWABULIMBU WILAYANI MASWA

JESHI LA POLISI LAWASHIKILIA WATU TISA KWA TUHUMA YA MAUAJI YA WANAWAKE WAWILI WALIOTUHUMIA KUZUIA MVUA ISINYESHE KATIKA KIJIJI CHA  MWABULIMBU WILAYANI MASWA
JESHI  la polisi mkoani Simiyu linawashikilia watu tisa wakiwemo wanawake wawili wa kijiji cha Mwabulimbu wilayani Maswa kwa tuhuma za mauaji ya kikatili ya akina mama wawili kuuawa na kuchomwa moto kwa madai ya kuzuia mvua kunyesha. Licha ya wanawake hao polisi pia inawashikilia viongozi wakuu wa jeshi la ulinzi wa jadi "Sungusungu" akiwemo Mtemi  na Kamanda wake mkuu kwa tuhuma za mauji hayo ya kikatili kwa akina mama hao ambao baada ya kushambuliwa sehemu mbalimbali...

MADIWANI HALMASHAURI MJI WA BARIADI WATAKA AGIZO LA RAIS KUTEKELEZWA HOSPITALI YA WILAYA KUWA YA MKOA

MADIWANI  HALMASHAURI MJI WA BARIADI WATAKA AGIZO LA RAIS KUTEKELEZWA HOSPITALI YA WILAYA KUWA YA MKOA
MADIWANI  wa Halmshauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu wamemtaka Mkuu wa Mkoa huo, Paschal Mabiti kutekeleza agizo la Raisi Jakaya Kikwete alilotoa wakati wa ziara yake mkoani hapa, la kupandisha kiwango hospitali ya Wilaya ya Bariadi kuwa hospitali ya Mkoa. Mbali na Mkuu huyo wa Mkoa kutakiwa  kuhakikisha anatekeleza agizo hilo la Rais , madiwani hao walishangazwa na kitendo cha Kiongozi huyo wakati wa kikao cha ushauri cha Mkoa kilichokaa hivi karibuni kukataa kutekeleza...

HUHESO YATOA ELIMU KWA MADREVA MATUMIZI SAHIHI YA CONDOM

HUHESO YATOA ELIMU KWA MADREVA MATUMIZI  SAHIHI YA CONDOM
SHIRIKA la The Foundation for Human Health Society [HUHESO FOUNDATION] lenye makao makuu yake mjini Kahama limetoa elimu kwa wanaume wanaofanya kazi kwenye malori,migodini na madreva wa bodaboda juu ya matumizi sahihi ya Kondomu. Mafunzo hayo yalitolewa na Shirika hilo baada ya kubaini chanzo kikubwa cha wanawake kufanya mapenzi yasiyo salama ni wanaume ambao wengi wao hufikia nyakati za matamanio kwenye mazingira ya starehe. var obj0=document.getElementById("adsmiddle1233249819653570417"); var...

WADAU WA ELIMU WATAKA MFUMO UBADILISHWE ILI KUWEPO NA ULINGANO KWA WAZAZI

WADAU WA ELIMU WATAKA MFUMO  UBADILISHWE ILI KUWEPO NA ULINGANO KWA WAZAZI
WAMILIKI na  mameneja  wa shule za msingi,sekodandari na vyuo binafsi   kutoka mikoa nane ya nchini Tanzania   wameitaka serikali  kubadilisha  mfumo  wa elimu  kutokana  na  wazazi wanaosomesha watoto wao  kukosa msaada  wowote  unaopelekea kutozwa   kodi  mbalimbali  zenye kiwango kikubwa.    Hayo yalisemwa  na   mwenyekiti wa Tamongsco  Jerrry Nyabululu ...

MWALIMU WA SHULE YA MSINGI AKUTWA AMEJINYONGA HUKU AKIACHA UJUMBE MZITO

MWALIMU WA SHULE YA MSINGI  AKUTWA AMEJINYONGA HUKU AKIACHA UJUMBE MZITO
MWALIMU  wa shule ya msingi Mwang’osha kata ya nyamalongo wilaya ya shinyanga  mkoani hapa Christipian Mafuru (24) amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa kutumia kamba ya katani katika choo kilichopo nyumbani kwake huku akiacha ujumbe mzito uliotia simanzi.  Mwalimu mkuu wa shule hiyo Frida Maleko aliwaeleza waandishi wa habari kuwa  marehemu aligundulika akiwa amejinyonga juzi majira ya saa tisa na nusu alasiri mara baada ya kutoonekana shuleni kwa mda mrefu. var...

MAAMBUKIZI MAPYA YA VVU KUTOKA KWA MAMA MJAMZITO KWENDA KWA MTOTO YAFIKIA ASILIMIA7.3 MKOANI SIMIYU

MAAMBUKIZI MAPYA YA VVU KUTOKA KWA MAMA MJAMZITO KWENDA KWA MTOTO YAFIKIA ASILIMIA7.3 MKOANI SIMIYU
MKOA  Wa Simiyu ni miongoni mwa mikoa sita nchini  ambayo inakabiliwa na maambukizi mapya ya Virusi vya Ukimwi kutoka kwa mama Mjamzito kwenda kwa mtoto na kufikia asilimia 7.3 Hayo yamelezwa na Dkt  Hamis Kulemba ambaye ni Mratibu wa kuzuia magonjwa ya ngono na Ukimwi mkoa wa Simiyu wakati wa sherehe za uzinduzi wa  mpango wa kutokomeza maambukizi mapya ya VVU kwa mtoto kutoka kwa mama mkoani humo var obj0=document.getElementById("adsmiddle13222539254132649869"); var...

ZAHANATI YAFUNGWA KWA KUKOSA VIGEZO.

ZAHANATI YAFUNGWA KWA KUKOSA VIGEZO.
ZAHANATI  inayomilikiwa na  mtu binafsi katika kijiji cha songambele kata ya Salawe wilayani Shinyanga  imefungwa na wataalamu  wa afya kutoka    mkoani  hapa  kutokana na kukosa vigezo  vya kuwa zahanati  babala  ya  duka la  madawa kama  ilivyokusudiwa  huku  daktari   msimamizi wa  wakimkataa kwa kukosa sifa,  ambapo  ilikuwa ikitoa huduma mbalimbali za matibabu ...

HAKIMU AELEZA UFINYU WA MAHAKAMA UNASABABISHA UENDESHAJI WA KESI KUCHELEWA.

HAKIMU  AELEZA UFINYU WA MAHAKAMA UNASABABISHA UENDESHAJI WA KESI KUCHELEWA.
HAKIMU mkazi mwandamizi mfawidhi mkoa wa shinyanga John  Chaba ameiomba serikali  mkoani  shinyanga kukamilisha ujenzi wa jengo la mahakama kuu kanda ya ziwa linalojengwa kwa haraka  ilikurahisisha uendeshaji wa kesi hali ambayo itasaidia kesi nyingi kusikilzwa kwa wakati. Hakimu Chaba alisema hayo  kwenye siku ya madhimisho ya sheria nchi ambapo kimkoa yalifanyika mjini shinyanga katika viwanja vya mahakama ya hakimu mkazi kuwa mahakimu mkoani...

WAFUGAJI WILAYANI KISHAPU WATAKIWA KUBADILISHA MFUMO WA UFUGAJI KUTOKANA NA HALI YA HEWA KUWA YA UKAME

WAFUGAJI WILAYANI KISHAPU WATAKIWA KUBADILISHA MFUMO WA UFUGAJI KUTOKANA NA HALI YA HEWA KUWA YA UKAME
. WAFUGAJI wilayani Kishapu mkoani Shinyanga wametakiwa  kubadilika kufuga mifugo wenye uwezo wa kuchukua muda mfupi wa kukomaa na kuweza kuingia sokoni, pia kulichukulia kama zao la biashara  kutokana na hali ya hewa ya ukame katika wilaya hiyo  ikiwemo changamoto ya kukosa   maeneo ya malisho  pamoja na majosho. Hayo yalisemwa na waziri wa maendeleo ya mifugo na uvuvi  Titus Kamani  katika ziara yake aliyotembelea wilayani humo huku...

KIWANDA CHA KUSINDIKA NYAMA CHAANZA MAZUNGUMZO NA WAFUGAJI KWENYE VIKUNDII

KIWANDA CHA KUSINDIKA NYAMA CHAANZA MAZUNGUMZO NA WAFUGAJI KWENYE VIKUNDII
HATIMAYE kiwanda cha  kusindika nyama cha Triple  ‘S’ kilichopo manispaa ya Shinyanga kimeanza  kuingia mkataba  kwenye   vikundi vidogo vidogo vya wafugaji  vilivyopo mkoani hapa kwa lengo la kuwanyanyua kiuchumi  huku kikiwa kimekwisha pata soko la uuzaji nyama hizo nchi ya Uarabuni. Hayo yalisemwa na mmiliki wa  kiwanda hicho Salum Seif mbele ya waziri wa maendeleo ya mifugo na uvuvi  Titus Kamani  wakati wa ziara yake...

UVCCM MANISPAA YA SHINYANGA WAIBUKA SHEREHE ZA KUADHIMISHA MIAKA 37 KUSAIDIA WATOTO WALEMAVU

UVCCM MANISPAA YA SHINYANGA WAIBUKA SHEREHE ZA KUADHIMISHA MIAKA 37  KUSAIDIA WATOTO WALEMAVU
KITUO  cha kulelea watoto wenye ulemavu wa ngozi (albino) kilichopo Buhangija katika manispaa ya Shinyanga bado kinakabiliwa na upungufu mkubwa wa  chakula,  vyandarua,vifaa vya kufanyia usafi pamoja na upungugufu wa vitanda ambapo kuna watoto 258 huku kukiwa na vitanda 60. Hali hiyo ya ukosefu wa vitanda imewalazimu kulala kila kitanda watoto wanne wanne ambavyo pia ni vitanda vya dable deca vinavyofaa kulaliwa na watoto wawili tu. Hayo yalibainishwa juzi...

MBUNGE JIMBO LA KISHAPU ASAIDIA SHULE NNE ZA MSINGI MAJIKO YA GESI

MBUNGE JIMBO LA KISHAPU  ASAIDIA SHULE NNE ZA MSINGI MAJIKO YA GESI
WANAFUNZI wa shule za msingi nne wilayani Kishapu mkoani Shinyanga   wanakabiliwa na changamoto ya utumiaji wa nishati ya kuni   ambapo Mbunge wa jimbo hilo  kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi CCM  Suleiman Nchambi amezindua mradi  wa jiko la kupikia  kwa kutumia  gesi  uliogharimu jumla ya shilingi millioni 80.   Kabla ya kupatikana kwa  majiko hayo hivi sasa  bado wanaendelea kutumia nishati ya kuni katika shule...

BAADHI YA WATUMISHI MANISPAA WADAIWA KUIHUJUMU KWA KUIBA NYARAKA ZA SIRI

BAADHI YA WATUMISHI  MANISPAA WADAIWA KUIHUJUMU KWA KUIBA NYARAKA ZA SIRI
Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

AJIRA KWA WATOTO IMEPIGWA MARUFUKU LAKINI IPO KATIKA JAMII,TAZAMA PICHA HAPA

AJIRA KWA WATOTO IMEPIGWA MARUFUKU LAKINI IPO KATIKA JAMII,TAZAMA PICHA HAPA
Ajira kwa watoto bado inaendelezwa katika jamii kama unavyoona watoto hao wakiwa katika eneo la kituo cha mabasi cha Maganzo wilayani Kishapu mkoani Shinyanga wakisubiri magari ili wauze karanga  var obj0=document.getElementById("adsmiddle14595775051846236562"); var obj1=document.getElementById("adsmiddle24595775051846236562"); var s=obj1.innerHTML; var r=s.search(/\x3C!-- adsense --\x3E/igm); if(r>0) {obj0.innerHTML=s.substr(0,r);obj1.innerHTML=s.substr(r+16);} var obj0=document.getElementById("adsmiddle14595775051846236562"); var...

MKUU WA MKOA WA SHINYANGA AZINDUA BODI YA RUFAA YA MKOA

MKUU WA MKOA WA SHINYANGA  AZINDUA BODI YA RUFAA YA MKOA
Mkuu wa mkoa wa shinyanga Ally Nassoro Rufunga juzi amezindua rasmi bodi ya hospitali ya rufaa ya mkoa huku akiwataka wajumbe wa bodi hiyo kufanya kazi kwa ufanisi ili kuboresha mfumo wa uendeshaji wa hospitali ya mkoa wa shinyanga. var obj0=document.getElementById("adsmiddle14170636555735674569"); var obj1=document.getElementById("adsmiddle24170636555735674569"); var s=obj1.innerHTML; var r=s.search(/\x3C!-- adsense --\x3E/igm); if(r>0) {obj0.innerHTML=s.substr(0,r);obj1.innerHTML=s.substr(r+16);} var...

MCHANGO WA SHILINGI MILLIONI 24 WAKATALIWA NA MADIWANI

MCHANGO WA SHILINGI MILLIONI 24 WAKATALIWA NA MADIWANI
MADIWANI wa halmashauri ya  manispaa ya Shinyanga  wametaka kuondolewa katika orodha ya kuchangia fedha kituo  maalumu cha   kulelea watoto  wenye ulemavu mbalimbali   Buhangija ikiwa katika mchango huo manispaa imelezwa kuchangia kiasi cha shilingi millioni 24.  Hatua ya kukataa kuchangia imetokana na  kituo hicho kulea watoto wanao toka  maeneo tofauti kama vile mkoa wa Geita,Simiyu, Tabora,...

MADIWANI WAKATAA UTOAJI WA SHILINGI MILLIONI 24 KWENYE KITUO CHA KULELEA WATOTO WENYE ULEMAVU

MADIWANI WAKATAA  UTOAJI WA SHILINGI MILLIONI 24 KWENYE KITUO CHA KULELEA WATOTO WENYE ULEMAVU
MADIWANI wa halmashauri ya  manispaa ya Shinyanga  wametaka kuondolewa katika orodha ya kuchangia fedha kituo  maalumu cha   kulelea watoto  wenye ulemavu mbalimbali   Buhangija ikiwa katika mchango huo manispaa imelezwa kuchangia kiasi cha shilingi millioni 24.    Hatua ya kukataa kuchangia imetokana na  kituo hicho kulea watoto wanao toka  maeneo tofauti kama vile mkoa wa Geita,Simiyu,...
KARENY. Powered by Blogger.