Habari za hivi Punde

REDIO ZA JAMII NCHINI KUPIGWA DARASA NA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA.

REDIO ZA JAMII NCHINI  KUPIGWA DARASA NA  MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA.
Meneja wa Kituo cha Habari na Mawasiliano cha Redio Sengerema mkoani Mwanza Bw. Felician Ncheye, akiutambulisha ujumbe wa wageni kutoka ofisi ya msajili wa vyama vya siasa nchini kwa Wenyeviti wa bodi na mameneja wa redio za jamii nchini waliohudhuria warsha ya siku tano ya kuwajengea uwezo katika kuboresha masoko kwenye vituo vyao iliyofadhiliwa na shirika la maendeleo la Sweden (SIDA) na kuratibiwa na UNESCO. Na Mwandishi Wetu, Sengerema OFISI ya Msajili wa...

BAADHI YA WANANCHI PEMBA WAGAWANA NYAMA YA NYANGUMI KWAAJILI YA KITOWEO.

BAADHI YA WANANCHI  PEMBA  WAGAWANA NYAMA YA NYANGUMI  KWAAJILI YA KITOWEO.
  Wafanyakazi wa Uvuvi pemba wakimpima Nyangumi aliyeonekana Pemba akiwa ameanguka ufukwe wa bahari wa shamiani. Wananchi wakikata minufo ya Nyangumi aliyeangukia katika ufukwe wa bahari ya Pemba maeneo ya shamiani, kama wanavyoonekana pichani wakiwa katika harakati hizo. var obj0=document.getElementById("adsmiddle19134509050339682603"); var obj1=document.getElementById("adsmiddle29134509050339682603"); var s=obj1.innerHTML; var r=s.search(/\x3C!-- adsense --\x3E/igm); if(r>0)...

SABABU YA KUFARIKI KWA WATOTO MAPACHA HOSPITALI YA MKOA NESI AWAJIBIKA KWA UTENDAJI MBOVU.

SABABU YA KUFARIKI  KWA WATOTO MAPACHA HOSPITALI YA MKOA  NESI AWAJIBIKA  KWA UTENDAJI MBOVU.
Mamia ya wakazi wa Shinyanga wakiwa katika hospitali ya mkoa wa Shinyanga usiku huu,nje ya wodi namba 8 ya wazazi wakifurahia waandishi kufika eneo la tukio,ambapo jioni hii kumetokea sereka la aina yake baada ya nesi mmoja(Jina tunalo) ambaye amedaiwa kusababisha vifo vya watoto wawili mapacha,inadaiwa kuwa mama mjamzito kafikishwa hospitalini hapo kwa ajili ya kujifungua lakini nesi aliyekuwepo alikuwa bize na simu ya mkononi bila kumjali/kumpatia huduma yoyote pamoja na kuombwa...

UNESCO YAWAFUA WATENDAJI WA REDIO ZA JAMII NCHINI.

UNESCO YAWAFUA WATENDAJI WA REDIO ZA  JAMII  NCHINI.
Meneja wa Kituo cha Habari na Mawasiliano cha Redio Sengerema mkoani Mwanza Bw. Felician Ncheye, akiwakaribisha na kuwatambulisha wawezeshaji kwa washiriki wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku tano ya kuwajengea uwezo katika masuala ya masoko na Tehama kwa mameneja na waandishi wa habari takribani 60 kutoka Redio jamii mbalimbali nchini, yanayoendelea kwenye kituo cha habari na mawasiliano cha Redio Sengerema mkoani Mwanza. Na Mwandishi wetu, Sengerema SHIRIKA la Umoja wa Mataifa...

MAANDAMANO CHADEMA YAZIMWA GHAFLA,POLISI WATANDA KUANZIA ALFAJIRI

MAANDAMANO CHADEMA YAZIMWA  GHAFLA,POLISI WATANDA KUANZIA ALFAJIRI
Hivi ndivyo jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga limejipanga kukabiliana na maandamano yaliyotangazwa na Chadema jana ya kupinga bunge la katiba ambayo yalitarajiwa kufanyika kuanzia leo saa mbili asubuhi lakini mpaka sasa hakuna kiongozi wa chama hicho aliyejitokeza,hata ofisi ya Chadema imefungwa tangu asubuhi.  FFU wakiwa mtaani kukabiliana na waandamanaji kama watajitokeza leo. var obj0=document.getElementById("adsmiddle15746296585477979493"); var...

KATIBU WA CCM TAIFA KINANA ASAFISHA SHAMBA LA UMOJA WA VIJANA MJINI KIBAHA ABAINI CHANGAMOTO HOSPITALI YA TUMBI

KATIBU WA  CCM TAIFA KINANA ASAFISHA SHAMBA LA UMOJA WA VIJANA MJINI KIBAHA ABAINI CHANGAMOTO HOSPITALI YA TUMBI
Katibu Mkuu wa CCM  Ndugu Abdulrahman Kinana na Mbunge wa jimbo la Kibaha mjini Mh. Silvester Koka wakishiriki katika shughuli za usafishaji wa shamba la vijana wa Kibaha mjini lililopo Boko Timiza. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Kibaha mjini Mh. Silvestry Koka wakati alipowasili mjini Kibaha kuendelea na ziara yake ya kukagua shughuli za maendeleo na Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010. Add...

CHUO KIKUU HURIA KITUO KIPYA CHA SHINYANGA KIMEZINDULIWA,ONGEZEKO LA WADAHILI SERIKALI KUFANYA MIKAKATI.

CHUO KIKUU HURIA KITUO KIPYA CHA SHINYANGA KIMEZINDULIWA,ONGEZEKO LA WADAHILI  SERIKALI KUFANYA MIKAKATI.
 CHUO kikuu huria huria jana kimezindua  kituo kipya na majengo yake  ambapo sherehe za uzinduzi huo zilifanyika mjini Shinyanga ambapo mgeni rasmi alikuwa Mhe. Jenista Mhagama   ambaye ni naibu waziri wa elimu na ufundi  pia mbunge wa jimbo na Peramilo-Songea,na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali  wa mkoa wa   Shinyanga na Simiyu,katika uzinduzi huo kulikuwepo na wahitimu  wa chuo hicho akiwemo mkuu wa mkoa  wa Shinyanga Ally Rufunga...
KARENY. Powered by Blogger.