WATU watatu ambao majina yao hawajafahamika wamefariki dunia huku mfugaji
Gilijisiji Gilawida ambaye alichomwa mkuki na kumjeruhi vibaya
sehemu za mwili wake katika
mapigano ya wakulima na wafugaji huko
katika kijiji cha Isakamaliwa kilichopo mpakani mwa mkoa wa Shinyanga na Tabora
ambapo mapigano hayo
yalisababishwa na kugombea mipaka ya malisho.
Hata hivyo kwa upande wa kata ya Magalata ...
Home » Archive for March 2014
WATU WATATU WAMEFARIKI DUNIA KATIKA MAPIGANO KATI YA WAKULIMA NA WAFUGAJI WILAYA ZA KISHAPU NA IGUNGA

Posted by karenyblog
at 8:21 AM,
Add Comment
Soma zaidi
KARENY BLOG: CHANGAMOTO YA KURIPOTI KWA WANAFUNZI KIDATO CHA KW...

KARENY BLOG: CHANGAMOTO YA KURIPOTI KWA WANAFUNZI KIDATO CHA KW...: CHANGAMOTO ya kuozesha wanafunzi wa kike mara wanapohitimu darasa la saba huku wavulana wakiendelea kutumikishwa na shughuli za uchungaji...
var obj0=document.getElementById("adsmiddle18823889427581792587");
var obj1=document.getElementById("adsmiddle28823889427581792587");
var s=obj1.innerHTML;
var r=s.search(/\x3C!-- adsense --\x3E/igm);
if(r>0) {obj0.innerHTML=s.substr(0,r);obj1.innerHTML=s.substr(r+16);}
var...
Posted by karenyblog
at 8:17 AM,
Add Comment
Soma zaidi
KITUO CHA AFYA IKONONGO CHAKABILIWA NA UHABA WA MAJI,NISHATI YA UMEME

KITUO cha afya cha
Ikonongo kilichopo kata ya Salawe
wilayani Shinyanga kinakabiliwa
na changamoto mbalimbali ikiwemo
ukosefu wa huduma ya maji na nishati ya umeme hali ambayo inawalazimu mama wajawazito kutumia tochi ya simu au taa wakati wa kujifunga huku
watoto wanaougua kuchanganywa na wakubwa.
Baadhi ya wananchi wa kata hiyo walimueleza mwandishi wa habari kuwa
kumekuwapepo na tatizo la kupata huduma iliyobora...
Posted by karenyblog
at 7:10 AM,
Add Comment
Soma zaidi
KARENY BLOG: CHANGAMOTO YA KURIPOTI KWA WANAFUNZI KIDATO CHA KW...

KARENY BLOG: CHANGAMOTO YA KURIPOTI KWA WANAFUNZI KIDATO CHA KW...: CHANGAMOTO ya kuozesha wanafunzi wa kike mara wanapohitimu darasa la saba huku wavulana wakiendelea kutumikishwa na shughuli za uchungaji...
var obj0=document.getElementById("adsmiddle17132563661394107023");
var obj1=document.getElementById("adsmiddle27132563661394107023");
var s=obj1.innerHTML;
var r=s.search(/\x3C!-- adsense --\x3E/igm);
if(r>0) {obj0.innerHTML=s.substr(0,r);obj1.innerHTML=s.substr(r+16);}
var...
Posted by karenyblog
at 7:08 AM,
Add Comment
Soma zaidi
WAFANYABIASHARA WALALAMIKIWA KUWA CHANZO CHA UCHAFU WA MITARO NA MAKALVAT

WAFANYABIASHARA mkoani Shinyanga
wamelalamikiwa kuwa chanzo cha kuchafua mitaro na makalvati ikiwemo
mama lishe kumwaga maji machafu hali ambayo imesababisha mitaro hiyo
kuziba na kufanya wakala wa barabara tanroad kuingia gharama kubwa ya kuzibua
na kuisafisha .
Akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake meneja
wa Tanroad mkoa wa Shinyanga Philip Witonde ...
Posted by karenyblog
at 9:21 AM,
Add Comment
Soma zaidi
KITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHATOA ELIMU YA RASMU YA PILI YA KATIBA.

KITUO cha Sheria na haki za Binadamu (LHRC) kimetoa
elimu ya Rasmu ya pili ya katiba kwa wananchi wa kata ya kitangili
mjini shinyanga ili wananchi hao wapate kuelewa pamoja na kujitokeza kupiga
kura pale Rasmu hiyo itakapo rudishwa mikononi mwa watanzania kama imekidhi
vigezo na maoni waliyoyapendekeza
Akitoa elimu kwa wakazi hao kwenye mkutano wa hadhara
mwanasheria wa Kituo hicho Jonsoni John alisema kuwa lengo la kutoa elimu
ya Rasmu ya pili...
Posted by karenyblog
at 9:16 AM,
Add Comment
Soma zaidi
KARENY BLOG: HAKIMU AELEZA UFINYU WA MAHAKAMA UNASABABISHA UEN...

KARENY BLOG: HAKIMU AELEZA UFINYU WA MAHAKAMA UNASABABISHA UEN...: HAKIMU mkazi mwandamizi mfawidhi mkoa wa shinyanga John Chaba ameiomba serikali mkoani shinyanga kukamilisha ujenzi wa jengo l...
var obj0=document.getElementById("adsmiddle11421367748158108707");
var obj1=document.getElementById("adsmiddle21421367748158108707");
var s=obj1.innerHTML;
var r=s.search(/\x3C!-- adsense --\x3E/igm);
if(r>0) {obj0.innerHTML=s.substr(0,r);obj1.innerHTML=s.substr(r+16);}
var...
Posted by karenyblog
at 9:12 AM,
Add Comment
Soma zaidi
TIMU YA STENDI UNITED NA POLISI MARA ZALETA KIZAA ZAA UWANJA WA KAMBARAGE MKOANI SHINYANGA

BAADHI ya mashabiki wa timu ya mpira wa miguu manispaa ya shinyanga akiwemo naibu waziri wa nishati na madini Steven Masele kunusurika na wengine kujeruhiwa vibaya sehemu mbalimbali za miili yao kutokana na vurugu zilizozuka ndani ya uwanja wa Kambarage ambapo jeshi la polisi
lilianza kurusha mabomu ya machozi .
Mabomu hayo yaliweza kuleta madhara kwa mashabiki ambapo mama mwenye ujauzito wa miezi nane aliyefahamika kwa...
Posted by karenyblog
at 7:21 AM,
Add Comment
Soma zaidi
KARENY BLOG: HAKIMU AELEZA UFINYU WA MAHAKAMA UNASABABISHA UEN...

KARENY BLOG: HAKIMU AELEZA UFINYU WA MAHAKAMA UNASABABISHA UEN...: HAKIMU mkazi mwandamizi mfawidhi mkoa wa shinyanga John Chaba ameiomba serikali mkoani shinyanga kukamilisha ujenzi wa jengo l...
var obj0=document.getElementById("adsmiddle11710809282354180104");
var obj1=document.getElementById("adsmiddle21710809282354180104");
var s=obj1.innerHTML;
var r=s.search(/\x3C!-- adsense --\x3E/igm);
if(r>0) {obj0.innerHTML=s.substr(0,r);obj1.innerHTML=s.substr(r+16);}
var...
Posted by karenyblog
at 7:17 AM,
Add Comment
Soma zaidi
KUMOMONYOKA KWA MAADILI KUMEFANYA VITENDO VYA RUSHWA KUSHAMIRI NA KUCHAKACHUA MIRADI

KUMOMONYOKA kwa maadili kwa baadhi
ya watumishi wa
umma ni moja ya sababu zinazochangia
kukithiri kwa vitendo
vya rushwa na kuchangia kuongezeka
uchakachuaji wa miradi ya
maendeleo, unaofanywa na wakandarasi kwa
kushirikiana na
wataalamu nakuwataka wanaofanya vitendo
hivyo kujitathimini
wenyewe kuachia ngazi zao kabla ya
kuwajibishwa.
Hayo yalielezwa jana na kamanda wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU )mkoa...
Posted by karenyblog
at 10:24 PM,
Add Comment
Soma zaidi
UKOSEFU WA MITANDAO YA MAJI SAFI NA SALAMA HUFANYA BAADHI YA MAENEO KUKOSA MAJI.

UKOSEFU wa mitandao ya maji safi na salama katika
baadhi ya maeneo ya Shinyanga mjini ni miongoni mwa changamoto kubwa
zinazoikabili Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira (SHUWASA ) hali ambayo inasababisha baadhi ya maeneo
kukosa huduma muhimu ya maji.
Hayo
yamebainishwa na mkurugenzi mtendaji wa SHUWASA injinia Silvester Mahole wakati
akisoma taarifa kwa mgeni rasmi ambaye alikuwa mkuu wa wilaya ya Shinyanga
Annarose Nyamubi kwenye uzinduzi wa mradi...
Posted by karenyblog
at 10:21 PM,
Add Comment
Soma zaidi
KARENY BLOG: MTOTO ALIYECHINJWA NA BABA YAKE NA KUTOKWA DAMU NY...

KARENY BLOG: MTOTO ALIYECHINJWA NA BABA YAKE NA KUTOKWA DAMU NY...: MTOTO Said Joshua (12) aliyekatwa koromeo kwa kutumia kisu na baba yake mzazi huko wilayani Kahama mkoani Shinyanga amefariki dunia waka...
var obj0=document.getElementById("adsmiddle13208037372902568664");
var obj1=document.getElementById("adsmiddle23208037372902568664");
var s=obj1.innerHTML;
var r=s.search(/\x3C!-- adsense --\x3E/igm);
if(r>0) {obj0.innerHTML=s.substr(0,r);obj1.innerHTML=s.substr(r+16);}
var...
Posted by karenyblog
at 10:18 PM,
Add Comment
Soma zaidi
MKUU WA MKOA WA SHINYANGA AZINDUA MRADI WA MAJI KATIKA KIJIJI CHA BUBINZA.

SERIKALI mkoani Shinyanga imezindua mradi wa maji
katika kijiji cha Bubinza kata ya mwamashele wilayani Kishapu ambao
utaondoa changamoto kwa wananchi wa kijiji hicho ambapo walikuwa
wanakabiliwa na changamoto mbalimbali yakiwemo magonjwa ya mlipuko
kutokana na kutumia maji yasiyo salama.
Akizindua mradi huo mkuu wa mkoa
Ally Rufunga alisema lengo la serikali hapa nchini hadi kufikia
2025 ni kuhakikisha vijiji vyote vinaondokana ...
Posted by karenyblog
at 12:11 PM,
Add Comment
Soma zaidi
JESHI LA JADI LAPEWA DHAMANA YA KUSIMAMIA MICHANGO YA MRADI WA MAJI

WANANCHI wa vijiji viwili vya Mwamalili na Seseko kata ya
mwamalili wilayani Shinyanga wamekabidhiwa kwa Jeshi la jadi sungusungu
ilikukamilisha michango ya mradi wa maji utakao sambaza maji safi na salama
katika vijiji hivyo ambao unatoka ziwa Victoria kupitia tenki la maji
(Shuwasa) .
Akilikabidhi Jeshi hilo la jadi kwa wanakijiji hao mkuu
wa mkoa wa Shinyanga Ally Rufunga wakati akizindua mradi wa maji safi na salama
katika vijiji hivyo...
Posted by karenyblog
at 12:04 PM,
Add Comment
Soma zaidi
KARENY BLOG: UONGOZI WAAGIZWA KUUNDA KAMATI MAALUMU YA KUTEMBE...

KARENY BLOG: UONGOZI WAAGIZWA KUUNDA KAMATI MAALUMU YA KUTEMBE...: Na Kareny Masasy Simiyu. UONGOZI mkoani Simiyu umeagizwa kuunda kamati maalumu itakayotembea halmashauri zote mkoani hapa...
var obj0=document.getElementById("adsmiddle15890881092269960620");
var obj1=document.getElementById("adsmiddle25890881092269960620");
var s=obj1.innerHTML;
var r=s.search(/\x3C!-- adsense --\x3E/igm);
if(r>0) {obj0.innerHTML=s.substr(0,r);obj1.innerHTML=s.substr(r+16);}
var...
Posted by karenyblog
at 11:58 AM,
Add Comment
Soma zaidi
SERIKALI IMEANZA KUTEKELEZA KUONDOA KERO YA MAJI WILAYANI KISHAPU

WAKAZI wa wilaya ya
Kishapu mkoani Shinyanga wameanza kutekelezewa na serikali tatizo la ukosefu wa maji la muda mrefu
kwa kuanza na usanifu wa njia za upatikanaji wa maji safi na salama kutoka ziwa victoria kama maeneo mengine ndani ya mkoa huu
yanavyopata maji.
Hayo yalisemwa na waziri
wa maji Jumanne Maghembe kwenye
mkutano wa hadhara katika viwanja vya mji mdogo wa maganzo uliohudhuriwa
na baadhi...
Posted by karenyblog
at 1:13 PM,
Add Comment
Soma zaidi
KARENY BLOG: UONGOZI WAAGIZWA KUUNDA KAMATI MAALUMU YA KUTEMBE...

KARENY BLOG: UONGOZI WAAGIZWA KUUNDA KAMATI MAALUMU YA KUTEMBE...: Na Kareny Masasy Simiyu. UONGOZI mkoani Simiyu umeagizwa kuunda kamati maalumu itakayotembea halmashauri zote mkoani hapa...
var obj0=document.getElementById("adsmiddle1521308250511750952");
var obj1=document.getElementById("adsmiddle2521308250511750952");
var s=obj1.innerHTML;
var r=s.search(/\x3C!-- adsense --\x3E/igm);
if(r>0) {obj0.innerHTML=s.substr(0,r);obj1.innerHTML=s.substr(r+16);}
var...
Posted by karenyblog
at 1:07 PM,
Add Comment
Soma zaidi
MTOTO ALIYECHINJWA NA BABA YAKE NA KUTOKWA DAMU NYINGI SASA AFARIKI DUNIA

MTOTO Said Joshua (12) aliyekatwa
koromeo kwa kutumia kisu na baba yake mzazi huko wilayani Kahama mkoani
Shinyanga amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa
ya Bugando jijini Mwanza.
Mtoto huyo ambaye alichinjwa na baba yake aitwaye
Joshua Salvatory (37),fundi baiskeli akiwa nyumbani kwake usiku wa kuamkia
tarehe 4 mwezi huu katika kitongoji cha Majengo Kaskazini,kata ya
Majengo,tarafa ya Kahama mjini mkoani Shinyanga
amefariki...
Posted by karenyblog
at 12:08 PM,
Add Comment
Soma zaidi
KARENY BLOG: MTOTO ANUSURIKA KUCHINJWA NA BABA YAKE MZAZI KISA ...

KARENY BLOG: MTOTO ANUSURIKA KUCHINJWA NA BABA YAKE MZAZI KISA ...: MWANAFUNZI wa darasa la tatu katika shule ya msingi Majengo wilayani Kahama mkoani Shinyanga Said Joshua (12) amenusurika kufa baada y...
var obj0=document.getElementById("adsmiddle15477424177851000677");
var obj1=document.getElementById("adsmiddle25477424177851000677");
var s=obj1.innerHTML;
var r=s.search(/\x3C!-- adsense --\x3E/igm);
if(r>0) {obj0.innerHTML=s.substr(0,r);obj1.innerHTML=s.substr(r+16);}
var...
Posted by karenyblog
at 12:03 PM,
Add Comment
Soma zaidi
MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI YAWAHUKUMU WATU WAWILI KIFUNGO CHA ZAIDI YA MIAKA 100

MAHAKAMA ya hakimu mkazi wilaya ya Shinyanga imewahukumu wakazi wawili
wa kijiji cha Shatimba wilaya ya shinyanga mkoani hapa kwenda jela
kwa miaka 242 baada ya kupatikana na makosa matatu ambayo ni ubakaji ,
wizi wa kutumia silaha na kujeruhi.Waliohukumiwa ni Mathias
Kaloga (40) Jamesi Moshi (35) wote wakiwa wakazi wa kijiji hicho na
kutenda makosa hayo October 10, 2012.ambapo walivamia nyumbani kwa
malamikaji wa kwanza Tesha Jidomela...
Posted by karenyblog
at 11:48 AM,
Add Comment
Soma zaidi
WAZEE KUPATIWA VITAMBULISHO VYA KUPATA HUDUMA MBALIMBALI BURE

HALMASHAURI ya wilaya ya shinyanga kwa kushirikiana na
shirika lisilo lakiSerikali la Tawlae linalotetea haki za wazee
mkoani Shinyanga imeandaa mkakati madhubuti wa kutengeneza vitambulisho
ambavyo watapatiwa wazee wasiojiweza huduma bure za kijamii ikiwemo ya
matibabu.
Akizungumza mjini shinyanga kwenye kikao cha kufanya tathimini na maboresho ya
mkakati wa kuwasaidia wazee kupata huduma hizo bure, mkurugenzi wa
Halmashauli hiyo Mohamedi Kiyungi...
Posted by karenyblog
at 11:43 AM,
Add Comment
Soma zaidi
WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO ZAIDI HUPATA UPUNGUFU WA DAMU NA MALARIA

CHANGAMOTO
kubwa inayowakumba watoto waliochini ya umri wa miaka mitano kiafya
ni upungufu wa damu na ugonjwa wa malaria hali ambayo inapekekea kuleta
msongamano wa wagonjwa katika kituo cha afya kilichopo kata ya
Iselamagazi tarafa ya Nindo wilayani Shinyanga.Akiongea na
waandishi wa habari waliokuwa wametembelea katika kituo hicho mganga
mkuu wa Dkt Heleni Kaunda aliwaeleza kuwa msongamano wa wagonjwa pia
unaletwa kwa kuhudumia wagonjwa...
Posted by karenyblog
at 10:15 PM,
Add Comment
Soma zaidi
CHANGAMOTO KWA WATOTO WENYE VVU NA WENYE KUISHI MAZINGIRA HATARISHI

CHANGAMOTO kubwa
inayowakabili watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi pamoja na wale wenye kuishi na maambukizi ya
virusi vya ukimwi ni kwa ukosefu wa
mahitaji muhimu wanaopaswa kuyapata kama watoto wengine , lishe duni , pia walezi au wazazi kutokuwa na kipato huku
wengine wakiwatelekeza kwa makusudi.
Hayo yalisemwa na mwalimu Johari
Salum wa kituo cha kulelea watoto
hao cha (ECD) chini ya ufadhili wa shirika la Lara Foundation
International...
Posted by karenyblog
at 10:09 PM,
Add Comment
Soma zaidi
VIONGOZI WA VIJIJI WILAYANI KISHAPU WAAGIZWA KUSIMAMAIA MAZINGIRA IKIWEMO UFUGAJI WA NYUKI KATIKA MISITU.

VIONGOZI wa vijiji wote wilayani Kishapu Mkoani Shinyanga
wameagizwa kuhakikisha wanasimamia mazingira ipasavyo, na wahakikishe miti
haikatwi kiholela ili kuimarisha ufugaji wa nyuki katika misitu hiyo.
Agizo hilo limetolewa jana na mkuu wa wilaya ya Shinyanga
Willison Nkhambaku wakati wa uzinduzi wa mizinga ya nyuki uliofanyika katika
kijiji cha Nyasamba kata ya Bubiki wilayani humo ambapo alisema atakaebainika
anakata ovyo achukuliwe hatua kali za kisheria.
var...
Posted by karenyblog
at 8:02 AM,
Add Comment
Soma zaidi
MTOTO ANUSURIKA KUCHINJWA NA BABA YAKE MZAZI KISA KUCHOKA KUMTIBU MARADHI YANAYOMSUMBUA.

MWANAFUNZI wa darasa la tatu katika shule ya msingi
Majengo wilayani Kahama mkoani Shinyanga Said Joshua (12) amenusurika kufa
baada ya kutaka kuchinjwa kwa kutumia kisu na baba yake mzazi kutokana na
kile kinachodaiwa kuchoshwa kumtibu kwa maradhi yaliyokuwa
yakimsumbua.
Tukio hilo limetokea jana saa 11 alfajiri katika kijiji cha Majengo ,kata ya
Majengo,tarafa ya Kahama mjini ambapo mwanamme aitwaye Joshua Salvatory(37)
mkazi wa Majengo,fundi baiskeli akiwa nyumbani...
Posted by karenyblog
at 7:57 AM,
Add Comment
Soma zaidi
IDARA YA UHAMIAJI MKOANI SHINYANGA INAKABILIWA NA CHANGAMOTO MBALIMBALI.

IDARA ya uhamiaji mkoani Shinyanga inakabiliwa changamoto wa vitendea kazi kwa kukosa magari ya
kutosha ,kutokuwa na sare maalumu zinazoendana na mazingira ambazo zinaweza
kuhimili mazingira ya kikazi na hivyo kushindwa kufanya kazi yao ipasavyo ya
kudhibiti wahamiaji haramu wanaoingi
Hayo yalibainishwa na mtumishi wa Idara ya uhamiaji mkoani humo
Herieti Mayunga wakati akisoma Risala kwa mgeni Rasmi katika sherehe ya kuuaga mwaka
2013 na kuukalibisha...
Posted by karenyblog
at 9:29 AM,
Add Comment
Soma zaidi
MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI KUTOKA KWA MAMA KWENDA KWA MTOTO YAPUNGUA NA KUFIKIA ASILIMIA 5.6 MKOANI SHINYANGA

WANANCHI mkoani shinyanga wametakiwa
kuondokana na unyanyapaa kwa watu walioathirika na virusi vya ukimwi
ikiwemo mama wajawazito kuhudhuria katika kliniki kwa
kupima afya zao na kuondoa maambukizi ya mama kwenda kwa
mtoto ambapo kiwango mpaka sasa kimefikia asilimia 5.6.
Hayo yalisemwa na mkuu wa wilaya ya Shinyanga
Annarose Nyamubi kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa Shinyanga kwenye uzinduzi
wa kampeni...
Posted by karenyblog
at 7:34 AM,
Add Comment
Soma zaidi
Subscribe to:
Posts (Atom)