Kamanda uhamiji mkoa Anna maria Yondani akiwa kwenye zoezi la upimaji v.v.u ambapo anasema ni moja ya mipango iliyojiwekea idara hiyo kupima watumishi wote pamoja na familia zao. |
Kamanda wa uhamiaji mkoa wa Shinynga Annamaria Yondani akiwa katika zoezi la upimaji V.V.U ambapo anasema kuwa upimaji umekuwa ni jambo la kawaida hivyo jamii ione umuhimu wa kupima afya zao. |
Watumishi wa idara ya uhamiaji wakijiandaa zoezi la upimaji v.v.u mara baada ya kuhutubiwa na aliyekuwa mgeni rasmi katibu tawala wilaya Boniface Chambi. |
0 Response to "IDARA YA UHAMIAJI WATUMISHI WAKE WAPIMA V.V.U KWA HIARI WAKIONGOZWA NA KATIBU TAWALA WILAYA YA SHINYANGA BONIFACE CHAMBI."
Post a Comment