Habari za hivi Punde

WAHITIMU CHUO KIKUU HURIA WAMEELEZWA KUITUMIA ELIMU HIYO KWA MANUFAA YA UMMA


WAHITIMU wa chuo  kikuu huria tawi la Shinyanga ambao baadhi  ni  watumishi wa umma wametakiwa kuitumia elimu walioipata kwa kuondoa changamoto zilizopo kwenye jamii na kunyanyua uchumi.
Hayo yalisemwa jana  na  afisa elimu  msingi manispaa ya Shinyanga  Paul Magubiki  aliyekuwa mgeni rasmi katika mahafari ya tano  kwa tawi hilo lililojumuisha wahitimu 126 kwa ngazi mbalimbali.
KARENY. Powered by Blogger.