Habari za hivi Punde

KIJANA MMOJA ANUSURIKA KIFO KWA KUTUHUMIWA KUIBA BODABODA

 Kibaka huyo akiomba msamaha baa

da ya kupokea kichapo kutoka kwa kundi la wananchi waliofulika kwenye ukumbi huo.
Kijana mmoja anayesadikiwa kuwa kibaka  amepokea kichapo kutoka kwa wananchi wenye hasira baada ya kibaka huyo kukamatwa nakijaribu kuiba boda boda .
 Mabausa wa ukumbi huo wakimtoa nje kibaka akiwa na Pingu mkononi

0 Response to "KIJANA MMOJA ANUSURIKA KIFO KWA KUTUHUMIWA KUIBA BODABODA"

Post a Comment

KARENY. Powered by Blogger.