Habari za hivi Punde

WATOTO KWENYE KITUO CHA BUHANGIJA WAPATA MSAADA.

Watoto wenye ulemavu mbalimbali katika kituo cha Buhangija manispaa ya Shinyanga wakisubiri kupewa msaada wa nguo na vyakula  siku ya pasaka.

Watoto wakiendelea kusubiri msaada.


Familia ya  Mwalongo ikijitambulisha tayari kwa kutoa msaada siku ya Pasaka

Mbuzi aliyetolewa na familia ya Anna na Josephat Mwalongo siku ya Pasaka katika kituo cha Buhangija.

MFUMODUME WAWA KIKWAZO KWA WANAWAKE KUKUZA UCHUMI

WANAWAKE  nchini wameelzwa kuwa mfumo dume ndio unaowakwamisha kuweza kupata mikopo katika taasisi za fedha kwa kukosa dhamana
 
Licha ya kuwa waaminifu zaidi kuliko wanaume wamekuwa kwakipata vikwazo mbalimbali vyakushindwa kuendesha biashara`zao na pindi  wanapohitajika kutoa dhamana kwaajili ya mikopo wengi wao hushindwa sababu ya  mfumodume

KUKOSEKANA KWA MASHINE ZA CD4 ZAWATESA WENYE MAAMBUKIZI YA VVU.

VITUO vya kutolea huduma kwa watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi mkoani Shinyanga vinakabiliwa na changamoto ya upungufu wa mashine za  kupimia CD4 hali inayosababisha hofu kwa watumiaji wa dawa za kufubaza makali   (ARV).
KARENY. Powered by Blogger.