Habari za hivi Punde

WATOTO KWENYE KITUO CHA BUHANGIJA WAPATA MSAADA.

Watoto wenye ulemavu mbalimbali katika kituo cha Buhangija manispaa ya Shinyanga wakisubiri kupewa msaada wa nguo na vyakula  siku ya pasaka.

Watoto wakiendelea kusubiri msaada.


Familia ya  Mwalongo ikijitambulisha tayari kwa kutoa msaada siku ya Pasaka

Mbuzi aliyetolewa na familia ya Anna na Josephat Mwalongo siku ya Pasaka katika kituo cha Buhangija.

0 Response to "WATOTO KWENYE KITUO CHA BUHANGIJA WAPATA MSAADA."

Post a Comment

KARENY. Powered by Blogger.