Madiwani hao ni Sebastiani Peter  kutoka kata ya Ngokolo na Zacharia Mfuko kutoka kata ya Masekelo kwa pamoja jana waliongea na waandishi wa habari katika ofisi ya naibu meya wa manispaa hiyo huku wakieleza kuwa  wanayatamka rasmi maneno  mbalimbali yaliyopelekea kujiuzuru kama inshara ya kuwajibika kwa niaba ya makosa yaliyofanywa na viongozi wa kitaifa kwa nyakati tofauti.