Habari za hivi Punde

MWENYEKITI MPYA WA TIMU YA STEND UNITED ATAKA USHIRIKIANO,ATAJA WACHEZAJI WALIOACHWA KUWA WAKO HURU

MWENYEKITI wa  timu ya Stend United iliyopo mkoani Shinyanga  Ellyson Maeja   ametaka ushirikiano   wa kuinyanyua timu  nakuondoa tofauti zilizokuwepo kipindi cha nyuma   huku akitangaza wachezaji watakao achwa msimu ujao. 

Wachezaji walioachwa na wako huru ni Haruna Chanongo,Nassoro Choro,Rajab Zahir,Hassan Self, Philipo Metusela huku waliomaliza mkataba wao ni  Salum Kamana  na Elius Maturi.

MIKAKATI YA KUPINGA MIMBA NA NDOA ZA UTOTONI WILAYANI SHINYANGA

MKUU wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro  ameeleza mikakati dhidi ya kupinga mimba  na ndoa za utotoni  ili kufanikisha   kuwakamata waliosababisha ni wasichana  waliobainika kuwa na mimba kukataa  kusema ukweli  watalazimika  kuwekwa ndani.
Mkuu wa wilaya huyo alisema  hayo  jana alipokuwa mgeni rasmi  mbele ya wadau wa maendeleo katika mradi wa kupinga mimba na ndoa za utotoni kupitia shirika la Agape  ikiwa utekelezaji wake kwenye kata nne za Samuye,Lyabusalu,Iselamagazi

UWT WILAYA YA SHINYANGA VIJIJINI WAKIWA KATIKA ZOEZI LA UCHANGIAJI DAMU.

Katibu wa UWT wilaya ya Shinyanga vijijini akitoa  akijitolea kuchangia damu.

Wakwanza  kushoto ni  mwenyekiti wa UWT  Hellen David akiwa na wajumbe wa UWT wakijitolea uchangiaji damu  lengo kuokoa vifo vya mama na mtoto vitokanavyo na ukosefu wa damu.

Wakipewa maelekezo na kufarijiwa.

Wajumbe wa UWT wakijiandaa kwa uchangiaji damu  hapa wanajiandikisha tayari kwa kupata vipimo.

Katibu wa UWT  Grace Haule akiendelea  kuchangia damu .

Wajumbe  wa UWT wakiandaliwa kisaikolojia.

KARENY. Powered by Blogger.