Habari za hivi Punde

UWT WILAYA YA SHINYANGA VIJIJINI WAKIWA KATIKA ZOEZI LA UCHANGIAJI DAMU.

Katibu wa UWT wilaya ya Shinyanga vijijini akitoa  akijitolea kuchangia damu.

Wakwanza  kushoto ni  mwenyekiti wa UWT  Hellen David akiwa na wajumbe wa UWT wakijitolea uchangiaji damu  lengo kuokoa vifo vya mama na mtoto vitokanavyo na ukosefu wa damu.

Wakipewa maelekezo na kufarijiwa.

Wajumbe wa UWT wakijiandaa kwa uchangiaji damu  hapa wanajiandikisha tayari kwa kupata vipimo.

Katibu wa UWT  Grace Haule akiendelea  kuchangia damu .

Wajumbe  wa UWT wakiandaliwa kisaikolojia.

0 Response to "UWT WILAYA YA SHINYANGA VIJIJINI WAKIWA KATIKA ZOEZI LA UCHANGIAJI DAMU."

Post a Comment

KARENY. Powered by Blogger.