Habari za hivi Punde

WAZRI WA AFYA DKT SEIF RASHID AKIFANYA ZIARA KATIKA HOSPITALI YA MKOA,PIA AKIKAGUA WODI YA WAZAZI.


Waziri wa afya  Seif Rashid  akiondoka katika hospitali ya mkoa ,ambapo mganga mkuu wa mkoa Dkt Ntuli Kapologwe wakipeana mikono ya shukurani na kuagana  pembeni ni katibu tawala mkoa Anselmo Tarimo   na Dkt Ramadhani Kaballa.


Waziri wa afya Dkt Seif Rashid akiwa ndani ya wodi ya wazazi wanaojifungua kwa upasuaji na kisha anapata maeleo kutoka kwa  mganga mkuu mfawidhi wa hospitali ya mkoa Fredrick Mlekwa


Moja ya waodi ya wazazi waliojifungua kwa njia ya upasuaji mkoani Shinyanga ,pia kina mama hawa ni moja ya wazazi waliojifungua kwa njia ya upasuaji .


Mganga mkuu wa mkoa wa Shinyanga  Ntuli Kapologwe  akitoa maelezo mbele ya waziri wa afya pamoja na mbunge wa jimbo la Kishapu Selemani Nchambi  na wageni walioambatana na waziri huyo.


Waziri wa afya  Dtk  Self Rashid akiwa katika ofisi ya mkuu wa mkoa  katikati ni mkurugenzi wa manispaa ya Shinyanga Festo Kang'ombe pamoja  mkuu wa polisi  wilaya ya Shinyanga  Pili Misungwi.


Waziri wa afya akisalimiana na mama aliyekatika wodi ya wazazi tayari amekwisha jifungua kwa njia ya upasuaji hivyo mbunge wa jimbo la Kishapu Seleman Nchambi  akimpa pongezi kwa kujifungua.


Waziri wa afya Dkt  Seif Rashidi  akisalimiana na  baadhi ya madaktari katika  hospitali ya mkoa wa Shinyanga  mara baada ya kuwasili katika ziara yake ya siku moja kushuhudia malalamiko yanayosemwa na wananchi.


0 Response to "WAZRI WA AFYA DKT SEIF RASHID AKIFANYA ZIARA KATIKA HOSPITALI YA MKOA,PIA AKIKAGUA WODI YA WAZAZI."

Post a Comment

KARENY. Powered by Blogger.