Habari za hivi Punde

KIKAO CHA KAMATI YA MICHEZO MKOA WA TANGA WATAKA MICHEZO IPEWE KIPAUMBELE KWA VIJANA.

Kikao cha kamati ya mkoa wa tanga cha mwaka 2014

 Afisa michezo mkoa wa tanga,Digna Tesha akitoa ufafanuzi kwenye kikao cha kamati ya michezo mkoa wa tanga.
 Wajumbe waliohudhulia mkutano wa kujadili hali ya michezo mkoa wa tanga.


 Baadhi ya wajumbe wakichangia juu ya vyama ambavyo havijafika wilayani. 
 Wajumbe wakimsikiliza afisa michezo wa mkoa wa tanga ambaye hayuko pichani.
Afisa michezo wa wilaya ya pangani akichangia kwenye kikao.cha michezo mkoa wa tanga.

0 Response to "KIKAO CHA KAMATI YA MICHEZO MKOA WA TANGA WATAKA MICHEZO IPEWE KIPAUMBELE KWA VIJANA."

Post a Comment

KARENY. Powered by Blogger.