Habari za hivi Punde

KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA.


Mheshimiwa diwani wa kata ya Chamaguha manispaa ya Shinyanga ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya miundombinu  akiwasilisha  taarifa ya kamati yake huku akitoa maelezo ya  wawekezaji wamekuwa hawatekelezi makubaliano kama mikataba yao inavyoeleza.


0 Response to "KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA."

Post a Comment

KARENY. Powered by Blogger.