Habari za hivi Punde

MRADI WA BANIO KWAAJILI YA UMWAGILIAJI HAUJANUFAISHA WAKULIMA WA KIJIJI CHA ITILIMA


Mkuu wa wilaya ya Kishapu Wilson Nkhambaku  akisoma taarifa  ya awali  ya ukaguzi wa mradi wa  banio la umwagiliaji lililopo katika kijiji cha Itilima wilayani humo ambalo limetumia kiasi cha shilingi millioni  302.1 mpaka sasa halifanyi kazi.


0 Response to "MRADI WA BANIO KWAAJILI YA UMWAGILIAJI HAUJANUFAISHA WAKULIMA WA KIJIJI CHA ITILIMA"

Post a Comment

KARENY. Powered by Blogger.