Habari za hivi Punde

NAIBU WAZIRI WA KILIMO ,CHAKULA NA USHIRIKA AKIKAGUA MRADI WA BANIO KATIKA KIJIJI CHA ITILIMA WILAYANI KISHAPU.


Naibu waziri wa kilimo chakula na ushirika Godfrey Zambi  akikagua  mradi wa banio kwaajili ya umwagiliaji  ambao haufanyi kazi licha ya kutumia gharama kubwa kwa ujenzi  huku akisikitishwa na uotaji nyasi   na kufanya kukosekana kwa njia  ya kuelekea kwenye banio hilo.


0 Response to "NAIBU WAZIRI WA KILIMO ,CHAKULA NA USHIRIKA AKIKAGUA MRADI WA BANIO KATIKA KIJIJI CHA ITILIMA WILAYANI KISHAPU."

Post a Comment

KARENY. Powered by Blogger.