Habari za hivi Punde

HALMASHAURI YA WILAYA YA KISHAPU IKITOA TAARIFA YA MIRADI YA UMWAGILIAJI.


ugeni wa naibu waziri  wa kilimo,chakula na uchirika Godfrey Zambi akiwa  ameambatana na  injinia wa kanda  ya ziwa Ebenezer Kombe  sanjari na mkuu wa wilaya ya Kishapu  mkoani Shinyanga Wilson Nkhambaku katika ukumbi wa halmashauri  lengo kupata taarifa za  awali kuhusu miradi ya umwagiliaji.


0 Response to "HALMASHAURI YA WILAYA YA KISHAPU IKITOA TAARIFA YA MIRADI YA UMWAGILIAJI."

Post a Comment

KARENY. Powered by Blogger.