Habari za hivi Punde

MRADI WA MBWAWA KATIKA KIJIJI CHA ISHOLOLO WILAYANI SHINYANGA WASHINDWA KUKAMILIKA.


Naibu waziri wa kilimo chakula na ushirika Godfrey Zambi  akiwa katika mradi  wa bwawa la Ishololo katika kijiji hicho kata ya Usule wilayani Shinyanga sambamba na mbunge viti maalum Azzah Hillali ambapo mradi huo umeshindwa kuisha ingawa umetumia kiasi cha shilingi millioni 940 huku mkandarasi wake akidaiwa kukosa vifaa na kuendeleza shughuli zake binafsi.


0 Response to "MRADI WA MBWAWA KATIKA KIJIJI CHA ISHOLOLO WILAYANI SHINYANGA WASHINDWA KUKAMILIKA."

Post a Comment

KARENY. Powered by Blogger.