Habari za hivi Punde

RED CROSS IKIHAMASISHA UTOAJI WA DAMU SALAMA KWA WANANCHI BAADHI WAJITOKEZA.


Kijana akitoa damu katika banda la red cross  katika uhamasishaji wa damu salama kwenye kampeni ya uzinduzi wa uzazi wa mpango uliozinduliwa na mkuu wa mkoa  huku wadau mbalimbali wa afya wakijitokeza kwa huduma mbalimbali


Maandamano yaliyofanywa na idara ya afya kwaajili ya uhamasishaji wa  uzazi wa mpango  mara baada ya kuzinduliwa katika mkoa wa Shinyanga.


Kijana huyu akiwa pembeni na mtaalamu kutoka red cross baada ya kupata ushauri akisubiri kutoa damu.


0 Response to "RED CROSS IKIHAMASISHA UTOAJI WA DAMU SALAMA KWA WANANCHI BAADHI WAJITOKEZA."

Post a Comment

KARENY. Powered by Blogger.