Habari za hivi Punde

DKT ROSE AKIELEZEA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO ZOTE NI SALAMA NA HAZINA MADHARA BALI KILA MMOJA ANAUHURU WA KUTUMIA NJIA AIPENDAYO.


Dkt Rose Madinda  ambaye ni mshauri wa masuala ya afya  akielezea changamoto za wanawake kuhusiana na  utumiaji wa njia ya uzazi wa mpango ambapo anasema  njia hizo  ni salala hazina madhara yoyote kama inavyoelezwa huku akiwataka kuacha kutumia  njia ambazo sio za kitaalamu zilizofanyiwa utafiti na badala yake kutumia njia potofu ni kuongeza madhara zaidi katika mwili.


0 Response to "DKT ROSE AKIELEZEA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO ZOTE NI SALAMA NA HAZINA MADHARA BALI KILA MMOJA ANAUHURU WA KUTUMIA NJIA AIPENDAYO."

Post a Comment

KARENY. Powered by Blogger.