Habari za hivi Punde

KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI WA MANISPAA CHA DHARURA MKAGUZI NA MDHIBITI WA HESABU ZA NDANI (CAG) MKOANI SHINYANGA AKIGUNDUA MAMBO MENGI IKIWEM UDANGANYIFU WA MIAKA NA TAREHE ZA KUZALIWA.

Naibu mstahiki meya wa manispaa ya Shinyanga  akifungua kikao cha baraza la madiwani cha dharura kilichofanyika katika ukumbi wa mkoa wa shinyanga.



Madiwani wa  manispaa ya Shinyanga  wakifuatlia taarifa inayosomwa na mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali  mkoa wa Shinyanga Mussa Slyvester.




Mkuu wa wilaya ya  Shinyanga Annarose Nyamubi alisema kuwa iwapo manispaa ya  Shinyanga inataka ujenzi wa ofisi ionyeshe eneo la ujenzi huo sio kuweza kujadili suala ambalo hata  eneo halio.


Naibu katibu tawala wa mkoa wa Shinyanga Projectus Rugonzibwa  akitoa ushauri katika baraza la madiwani.


0 Response to "KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI WA MANISPAA CHA DHARURA MKAGUZI NA MDHIBITI WA HESABU ZA NDANI (CAG) MKOANI SHINYANGA AKIGUNDUA MAMBO MENGI IKIWEM UDANGANYIFU WA MIAKA NA TAREHE ZA KUZALIWA."

Post a Comment

KARENY. Powered by Blogger.