Kijana wa kabila la kimasai,Baraka Saico amehukumiwa kifungo cha miaka 4 jela
kwa kupatikana na hatia katika kesi ya kuhujumu uchumi mara baada ya kukutwa na ngozi
ya chui katika stendi ya daladala za hiace ziendazo Kange, hukumu hiyo imetolewa hivi karibuni na
hakimu,Maira Kasonde mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Tanga.
KIJANA WA KIMASAI AHUKUMIWA MIAKA 4 JELA KWA KUKUTWA NA NGOZI YA CHUI.
Posted by karenyblog
on Tuesday, August 5, 2014,
Add Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Response to "KIJANA WA KIMASAI AHUKUMIWA MIAKA 4 JELA KWA KUKUTWA NA NGOZI YA CHUI."
Post a Comment