![]() |
| Mtoa huduma ya Chanjo Tabu Willium katika kituo cha shule ya msingi Lyabukande mkoani Shinyanga ambapo ndipo chanjo kimkoa ilipozinduliwa huku wazazi wakijitokeza kwa wingi kuwapeleka watoto wao. |
![]() |
| Zoezi la chanjo likiendelea. |
![]() |
| Watoto wakipati wa chanjo mbalimbali katika kijiji cha Lyabukande. |
![]() |
| Mzazi akijitokeza kuwapeleka watoto wake kwenye chanjo. |





0 Response to "UZINDUZI WA CHANJO MKOANI SHINYANGA-KIJIJI CHA LYABUKANDE WAZAZI WAJITOKEZA KUPELEKA WATOTO WAO"
Post a Comment