Habari za hivi Punde

SHULE YA MSINGI YA FILBERT BAYI ILIYOPO KIBAHA IMETEKETEA KWA MOTO.

 apani wanakijiji wanao kaa kalibu na shule hiyo wakishuudia shule iyo ikiwaka moto uku wakishindwa kutoa msaada wowote kutokana na gari la zima moto la mkoa wa pwani kushindwa kufika kutokana na kudai kuwa ni bovu

Mnamo majira ya saa8 usiku wa kuamkia leo Shule ya msingi iyo iliyopo kibaha mkoani pwani maeneo ya kwamatiasi usiku wa kuamkia leo imeungua moto yote.chanzo ikiwa ni shot ya umeme iliyo jitokeza kwenye chumba kimoja cha madarasa hayo na kusababisha madarasa 14 yote kuwaka moto ila cha kumshukulu mungu kuwa wanafunzi wote walipona ila vitu vyao vyote vimeteketea kwa moto mtafuta  mmiliki wa shule hiyo  alisema ni kweli kuwa shule imeungua  na vitu vingi vimeungua ila ni mapema sana kutaja thamani ya vitu vilivyo ungua mpaka tutakapo kaa na kujua ni vitugani na vitu gani

1 Response to "SHULE YA MSINGI YA FILBERT BAYI ILIYOPO KIBAHA IMETEKETEA KWA MOTO."

  1. titanium rainbow quartz
    Tritanium Stone micro titanium trim Stone StoneStone StoneStone Stone 2018 ford fusion energi titanium Stone Stone Stone Stone Stone Stone Stone Stone Stone Stone Stone Stone Stone Stone Stone Stone Stone titanium armor Stone Stone Stone Stone Stone Stone Stone titanium nitride gun coating Stone Stone Stone Stone Stone Stone joico titanium Stone

    ReplyDelete

KARENY. Powered by Blogger.