Habari za hivi Punde

AJIRA KWA WATOTO IMEPIGWA MARUFUKU LAKINI IPO KATIKA JAMII,TAZAMA PICHA HAPA

Ajira kwa watoto bado inaendelezwa katika jamii kama unavyoona watoto hao wakiwa katika eneo la kituo cha mabasi cha Maganzo wilayani Kishapu mkoani Shinyanga wakisubiri magari ili wauze karanga 

0 Response to "AJIRA KWA WATOTO IMEPIGWA MARUFUKU LAKINI IPO KATIKA JAMII,TAZAMA PICHA HAPA"

Post a Comment

KARENY. Powered by Blogger.