Home » Uncategories » JESHI LA POLISI MKOANI SHINYANGA LIKIPATIWA SEMINA JUU YA MIFUKO YA HIFADHI.
JESHI LA POLISI MKOANI SHINYANGA LIKIPATIWA SEMINA JUU YA MIFUKO YA HIFADHI.
Mwanasheria mwandamizi wa SSRA kutoka jijini Dar-es-salaam Salma Maghimbi akitoa elimu juu ya mifuko ya hifadhi nchini inavyofanya kazi katika semina iliyowahusisha jeshi la polisi mkoani Shinyanga huku nao wakieleza changamoto wanazokumbana nazo mara walipojiunga kwenye mifuko hiyo.
0 Response to "JESHI LA POLISI MKOANI SHINYANGA LIKIPATIWA SEMINA JUU YA MIFUKO YA HIFADHI."
Post a Comment