Habari za hivi Punde

JESHI LA POLISI MKOANI SHINYANGA LIKIPATIWA SEMINA JUU YA MIFUKO YA HIFADHI.


Mwanasheria  mwandamizi wa SSRA kutoka jijini Dar-es-salaam Salma Maghimbi akitoa elimu juu ya mifuko ya hifadhi nchini inavyofanya kazi  katika  semina iliyowahusisha  jeshi la polisi mkoani Shinyanga  huku nao wakieleza changamoto wanazokumbana nazo  mara walipojiunga kwenye mifuko hiyo.


0 Response to "JESHI LA POLISI MKOANI SHINYANGA LIKIPATIWA SEMINA JUU YA MIFUKO YA HIFADHI."

Post a Comment

KARENY. Powered by Blogger.