Habari za hivi Punde

WANAFUNZI NA WALIMU SHULE YA MASAGALA WAPATIWA ELIMU NA IDARA YA UHAMIAJI.


Baadhi ya walimu wa shule ya msingi Masigala wakipatiwa elimu na afisa  kutoka idara ya uhamiaji mkoa ambaye hayupo pichani.


Shule ya msingi Masagala  ambayo imejiwekea jukumu la kuwa na kisima cha kuhifadhi maji kwaajili ya kumwagilizia  bustani za maua shuleni hapo na kufanya shule kuwa miongoni mwa shule zinazotunza mazingira.


Wanafunzi wa shule ya msingi Masagala iliyopo kata ya  Songwa wilayani Kishapu wakipatiwa elimu  na  ofisa wa uhamiaji mkoa wa Shinyanga ambaye hayupo pichani.


0 Response to "WANAFUNZI NA WALIMU SHULE YA MASAGALA WAPATIWA ELIMU NA IDARA YA UHAMIAJI."

Post a Comment

KARENY. Powered by Blogger.