Habari za hivi Punde

KATIBU WA CCM TAIFA KINANA ASAFISHA SHAMBA LA UMOJA WA VIJANA MJINI KIBAHA ABAINI CHANGAMOTO HOSPITALI YA TUMBI

8
Add caption
Katibu mkuu pia anahimiza wananchi kushiriki katika shughuli za maendeleo na kuimarisha chama, Katika msafara huo Kinana anaogozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi. Kero kubwa iliyojitokeza katika ziara hiyo ni pale Mkurugenzi wa huduma za Afya katika hospitali ya Tumbi Dr. Peter Dattan aliposema Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii iliahidi kununua vifaa vya chumba cha wagonjwa mahututi katika hospitali hiyo(ICU) Lakini ahadi hiyo haijatekelezwa yapata miaka mitatu sasa, Pamoja na kwamba hospitali ya Tumbi Kibaha inapokea majeruhi wengi na wanahitaji tiba maalum kutokana na majeraha mbalimbali yanayosababishwa na majeruhi wa  na ajali, Hospitali ya teule ya Tumbi inapokea asilimia 80% ya majeruhi wa ajali.
2Mbunge wa jimbo la Kibaha mjini Mh. Silvestry Koka akitoa maelezo ya ujenzi wa ofisi ya CCM wilaya ya Kibaha kwa kwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.3Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akifunua kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi katika ujenzi wa ofisi ya CCM wilaya ya Kibaha.4Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi wa ofisi ya CCM wilaya ya Kibaha. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipanda mti katika eneo ambali ofisi ya CCM wilaya ya Kibaha inajegwa mjini Kibaha6Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi akipanda mti katika jengo la ofisi mpya ya CCM wilaya ya Kibaha inayojengwa.7Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwapongeza watoto wa chipukizi baada ya kuimba ngonjera yao mbele yake. (picha na kikosi kazi cha africanmishe.blogspot.com)

0 Response to "KATIBU WA CCM TAIFA KINANA ASAFISHA SHAMBA LA UMOJA WA VIJANA MJINI KIBAHA ABAINI CHANGAMOTO HOSPITALI YA TUMBI"

Post a Comment

KARENY. Powered by Blogger.