Tamasha la Serengeti fiesta Shinyanga badala ya kusambaza Upendo limesambaza vilio na simanzi baada ya kijana mmoja aliyejulikana kwa jina la Musa Shija kuuawa kwa kupigwa kitu kizito kichwani akiwa kwenye tamasha hilo usiku wa kuamkia leo hivyo habari kamili tutakuletea endelea kufuatilia tukio hili nini kikisababisha.
Home » Uncategories » HABARI KWA UFUPI;TAMASHA LA FIESTA LIMELETA HUZUNI KWENYE FAMILIA MOJA BAADA YA KIJANA WAO KUFARIKI.
HABARI KWA UFUPI;TAMASHA LA FIESTA LIMELETA HUZUNI KWENYE FAMILIA MOJA BAADA YA KIJANA WAO KUFARIKI.
Tamasha la Serengeti fiesta Shinyanga badala ya kusambaza Upendo limesambaza vilio na simanzi baada ya kijana mmoja aliyejulikana kwa jina la Musa Shija kuuawa kwa kupigwa kitu kizito kichwani akiwa kwenye tamasha hilo usiku wa kuamkia leo hivyo habari kamili tutakuletea endelea kufuatilia tukio hili nini kikisababisha.
Posted by karenyblog
on Saturday, September 13, 2014,
Add Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Response to " HABARI KWA UFUPI;TAMASHA LA FIESTA LIMELETA HUZUNI KWENYE FAMILIA MOJA BAADA YA KIJANA WAO KUFARIKI."
Post a Comment