| Waandishi wa habari wakiwa katika semina wilayani Kahama mkoani Shinyanga iliyoandaliwa na shirika lisilo la kiserikali la care International Tanzania. |
| Mwandishi wa habari wa magazeti ya mwananchi na the citizen wilayani Kahama Shija Felician. |
| Mwandishi wa habari wa magazeti ya habarileo na dailynews wilayani Kahama Raymond Mihayo. |
| Mwezeshaji David Magige kutoka shirika hilo wilayani Kahama. |
| Waandishi wa habari wakiwa katika makundi kwa vitendo. |
| Waandishi wa habari wakisikiliza vikundi vilivyokuwa vikiwakilisha. |
| Mtangazaji wa redio Faraja Nunu Abdul na akiwa na meneja wa redio Kahama,marco Mipawa wakiwa nje ya ukumbi waGorden Valle nje kidogo ya mji wa Kahama |
| Mwandishi wa habari kutoka redio Kahama Bakari Khalid akiwasilisha mada ya maswali kutoka kwenye kundi lake. |
0 Response to "WAANDISHI WA HABARI WATAKIWA KUELIMISHA JAMII ILI WAWEZE KUONDOKANA NA MFUMODUME."
Post a Comment