Habari za hivi Punde

WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI SUNSET- WAONYESHA VIPAJI VYAO KWA KUPITIA GWARIDE.


         

 CAPTAIN Omary Hanzuruni akiwaongoza mgeni rasmi katika mahafari hayo,Zacharia Misana Afisa uhamiaji Wilayani Kahama pamoja na Mkurugenzi wa mji  wa Kahama, Felix Kimaryo kwenda kukagua gwalide la vijana kutoka shule ya msingi Sunset

 Mlezi wa shule ya Sunset, Mahamoud Jaha kulia akiwa sambamba na Afisa uhamiaji ,Zacharia Misana wakiongozwa na captain Hanzuruni kuelekea jukwaa la vijana machachari katika kuhakikisha wanamazoezi mazuri ya kulinda Taifa
                Vijana wa kikosi kutoka Shule ya Sunset wakiwa wamejipanga kikakamavu
 Viongozi hao wakisindikizwa na mlezi wa Shule hiyo wakiwakagua maaskari hao kuona shughuli za kiusalama zinatimizwa vizuri
 Captain Hanzurini akiwatambulisha maaskari wake kwa wakaguzi wa  vikosi hivyo
                                                      Twendeni na huku muone
 Afisa huyo wa Uhamiaji mwenyesuti ya kaki pamoja na mlezi wa shule hiyo wakiwa wamesimama kikakamavu huku wakiangalia kama maaskari hao wako sawa
                                         Hili ni jeshi la JKT likiwa tayari kwa lolote
                        Wakiangalia jeshi la Magereza  mchanganyiko na la Uhamiaji kwa makini
                                                     Simama imara
                                               Katiza uone cha moto
                                   Captain Hanzuruni akiwa mbele ya maaskari wake
                                                              TUPO IMARA
                                           Jeshi la majini likionyesha umahili wake kazini
                                                                     Waogope hao

                                                     Wakiwa tayari  kukabiliana na maadui
                 Wakipita huku  macho nyuma nakusonga mbele bila kupindisha mistari
                                             Wakiwa katika mwendo wa haraka
                                                 Walimu wakiwa pamoja na wanafunzi wao
 Mlezi wa Shule ya Sunset Mahamoud Jaha mweye suti ya blauni akiw na skafu shingoni kushoto kwake ni Afisa Uhamiaji akiwa wa Wilaya ya Kahama, Zacharia Misana, mwenyekaundasuti ni Mkurugenzi wa mji wa Kahama,Felix kimaryo  wakiwa meza kuuu  wakiwatazama wanafunzi wa shule hiyo wakati wakionyesha maonyesho ya jeshi la ulinzi yaliyoandaliwa na shule hiyo.
                     Baadhi ya walimu kutoka shule mbalimbali za watu binafsi wilayani humo
                                                       WAKILITAWALA JUKWAA


                                              Bendera za Tai
                                                 Wapiga bendi la gwalide mahili wa shule hiyo
                                                        Jinsi palivyokuwa
                        Wanafunzi wa shule hiyo wakiwa katika picha na kwenye mahafali hayo
                                                    TUMEPENDEZA
                                                               USITUSOGELEE

                                                         TUNAPIGA PICHA
                   TUMEMALIZA DARASA LA SABA TUKIW NA AFYA NZURI TUMEFURAHI
                          UKITUONA TUPO KAZINI PIT MBALI CHEZEA SIRAHA WEWE
 Maaskari hawa wamepata nafasi ya kuzungumza na blog hiii na kusema kuwa hata wakifanikiwa kuingia katika kidato cha sita hapo baadye mungu akipenda watajiunga na jeshi la kulinda Taifa JKT na kuahidi kulitumikia taifa hili vyema.
 Hiki ni kikosi cha makomando wa Tanzania wakionyesha umahili wao wa kung'fuu mbele ya viongozi wao pamoja na mgeni rasmi
                                         Komando akimkabili adui
                                                     kikundi cha kwaya cha shule hiyo

0 Response to "WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI SUNSET- WAONYESHA VIPAJI VYAO KWA KUPITIA GWARIDE. "

Post a Comment

KARENY. Powered by Blogger.