Habari za hivi Punde

MBUNG MREMA ANENA JIMBONI KWAKE AHAMASISHA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

 Mbunge wa jimbo la Vunjo na Mwenyekiti wa chama cha TLP,Dk.Augustine Lyatonga Mrema akihutubia mkutano wake wa hadhara jimboni kwake  jana kwa ajili ya kuhamasisha uchaguzi wa serikali za mitaa na pia kuelezea utekelezaji wa miradi ya Maendeleo,aidha katika jimbo hilo la Vunjo kumekuwepo na Mvutano mkubwa kwa vyama vya CCM,Innocent Shirima na Mh.James Mbatia wa NCCR-Mageuzi.
habari hii kwa msaada wa eddymobilize.blogspot.com

0 Response to " MBUNG MREMA ANENA JIMBONI KWAKE AHAMASISHA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA"

Post a Comment

KARENY. Powered by Blogger.