Habari za hivi Punde

WATU WATANO WANUSURIKA KUFA KWENYE AJALI YA GARI-KIMARA DAR

Gari aina ya Mitsubishi Canter likiwa pembezoni mwa barabara baada ya ajali hiyo.
Muonekana wa gari hilo baada ya ajali.

Baadhi ya raia waliokuwa kwenye eneo la tukio
Polisi wakiwa eneo la tukio.
Watu watano wamenusurika kufa kwa ajali Kimara Dar es Salaam baada ya gari dogo aina ya Toyota Rav 4 iliyokuwa ikitokea Kimara kuelekea Ubungo kuhama upande wa pili wa barabara na kugongana uso kwa uso na gari aina ya Mitsubishi Canter na kusababisha dereva wa Canter kuumia vibaya na kukimbizwa hospitali.
Waliokuwa ndani ya Rav 4 walipata majeraha madogo. Ajali hiyo imetokana na kutereza kwa barabara baada ya mvua kunyesha.
(Habari/Picha na :Global Whatsapp 

0 Response to "WATU WATANO WANUSURIKA KUFA KWENYE AJALI YA GARI-KIMARA DAR"

Post a Comment

KARENY. Powered by Blogger.